Huwa unawamudu vipi wateja wapenda punguzo?

Huwa unawamudu vipi wateja wapenda punguzo?

Kuna siku nilikuwa na stress zangu, mteja akauliza hiyo bidhaa fulani hapo sh ngapi? Nikamtajia bei. Eti anashtuka haaa mbona ghali sana, mbona pale marenga wanauza elfu 15 tu. Nikamwambia sasa hapa ni kwa marenga.

Nafikiri aliogopa nilivyomjibu, akainunua ile bidhaa. Lakini nilijistukia nikamwomba msamaha, sema na yeye alikuwa mwelewa akasema alijua tu sipo sawa, ndio maana akaamua tu kununua hivyo hivyo.
 
[emoji23][emoji23]Umenikumbusha nilikuwa dukani kipindi flani duka la ndugu , alikuja mteja akauliza hapa mnauza nini ilinichukua muda kama dk1 kumpa jibu

[emoji16][emoji16]hekima ilikufumba mdomo ili shetan asifanye kazi yake
 
Tanzania hatuna formal business ndio maana ujanjaujanja mwingi kuanzia kwa muuzaji hadi kwa mteja.
Ndio maana malls hapa nchini hazifanyi vizuri na ni chache sana.
Ukitaka uepukane na mambo ya discount kwenye biashara yako basi ifanye iwe rasmi.
Kuna mhindi mmoja pale Arusha (Benson) huwa hana hayo mambo, ikiingia dukani kwake utakuta bidhaa zote zina bei hivyo mteja unachagua inayolingana na mfuko wako japo sijajua kwa sasa bado anafanya hivyo.
Ukinunua unapewa risiti yako ya EFD.
Sasa wafanyabiashara walio wengi hawaendeshi biashara zao formally ndio maana utakutana na wateja wanaojua.
Kwanza mimi nikishafika kwa mfanyabiashara anaanza kunitajia bei mbili kwa sababu ya risiti ya EFD najua tu huyu ni mjanjamjanja.

Shida ni soko la ushindani, watu hawangalii EFD wanangalia unafuu, lets say unauza fridge 400k fixed ila jiran yako ye anauza 350k then anafodge EFD ili apate faida, unafikiri kibongo bongo wateja watajali kwako kisa upo straight kweli?
 
Kuna siku nilikuwa na stress zangu, mteja akauliza hiyo bidhaa fulani hapo sh ngapi? Nikamtajia bei. Eti anashtuka haaa mbona ghali sana, mbona pale marenga wanauza elfu 15 tu. Nikamwambia sasa hapa ni kwa marenga.

Nafikiri aliogopa nilivyomjibu, akainunua ile bidhaa. Lakini nilijistukia nikamwomba msamaha, sema na yeye alikuwa mwelewa akasema alijua tu sipo sawa, ndio maana akaamua tu kununua hivyo hivyo.

Yani inaleta stress sana unakuta unauza bidhaa zingine zinauzwa na chinga maana chinga sikuiz ni maduka yanayotembea then mtu anakwambia iki kitu kinauzwa mtaan bei fulan so mpaka uanze kumwelesha kua hapa mtu unalipia lesen and etc ndo akuelewe yan shida tupu
 
Mfano bidhaa gan izo zisizokua na bei elekezi mkuu? Mfano mi nauza feni, pasi, solar panels kufuri n.k ivo si vinabei elekezi?
Zote hizo hazina bei elekezi kila mtu na BEI zake, kuna bidhaa kama gesi zinabei elekez , mafuta ya petrol,taa na dizeli zina bei elekez, daladala vyombo vya usafiri zina bei elekez ,

Always mm napenda sana kufanya biashara ambazo bidhaa zake zina bei elekez
 
Watanzania weng hupenda punguzo na usipopunguza bei anakuona umempiga na hakuna anayependa kupigwa kikubwa ni kucheza na akili zao.

Yaani kama unajua feni Yako unampango wa kuiuza Kwa elf 50 ndio upate faida basi akikuulza bei ww mwambie elf 80 ila nakusikilza boss una sh ngap lazima atajileta mwenyewe kwenye 60 akiamini kapunguziwa 20 Ili hata akitokea mwenye 45 bado kwako unakuwa umecompensate.

Hata mm nkienda dukan kununua kitu ukinitajia bei fixed aisee hata kma nilikuwa nayo nakua mgumu sana yaan nataman ionekane umepungua japo kidgo

kwahyo weka zajuu ila angalizo ukiweka za juu mteja anapokuja ukishamtajia hakikisha unamuwahi kumwambia nakusikilza una sh ngap boss Wang lazma ataingia kwenye mfumo wa kocha tu. Lakin ukitaja na kunyamaza utaona anaondoka.
 
Kuna siku nilikuwa na stress zangu, mteja akauliza hiyo bidhaa fulani hapo sh ngapi? Nikamtajia bei. Eti anashtuka haaa mbona ghali sana, mbona pale marenga wanauza elfu 15 tu. Nikamwambia sasa hapa ni kwa marenga.

Nafikiri aliogopa nilivyomjibu, akainunua ile bidhaa. Lakini nilijistukia nikamwomba msamaha, sema na yeye alikuwa mwelewa akasema alijua tu sipo sawa, ndio maana akaamua tu kununua hivyo hivyo.
Usiombe stress ikukute dukani asee yaani unaona Kama wateja wanakusumbua 😂
 
Mwaka jana nilikuwa mgeni kwenye biashara ya hardware, mafundi na wateja baadhi walinisumbua sana kwa kupanga bei zao utasikia fulani anauza bei fulani nilikuwa nashusha kiukweli nilikuwa sipati faida nilivokomaa nikajifunza mengi
1. Haijalishi una huduma nzuri kiasi gani uwezi ukamzuia mteja akiamua kuondoa
2.wateja wengine kazi yao ni kumkatisha mfanya biashara tamaa ajione awezi hasa ukifungua biashara eneo ambalo watu wanakufahamu bei yako inaweza ikawa nzuri hakaenda kununua sehemu nyingine
3.muda mwingine kushusha bei sio kupata wateja wengi
4.angalia bei zako kama zinaendana na washindani, kama zinaendana wateja wasikuyumbishe, wacha waende mbeleni utapata wateja wapya au hao hao wataludi ni jambo la muda
 
Mwaka jana nilikuwa mgeni kwenye biashara ya hardware, mafundi na wateja baadhi walinisumbua sana kwa kupanga bei zao utasikia fulani anauza bei fulani nilikuwa nashusha kiukweli nilikuwa sipati faida nilivokomaa nikajifunza mengi
1. Haijalishi una huduma nzuri kiasi gani uwezi ukamzuia mteja akiamua kuondoa
2.wateja wengine kazi yao ni kumkatisha mfanya biashara tamaa ajione awezi hasa ukifungua biashara eneo ambalo watu wanakufahamu bei yako inaweza ikawa nzuri hakaenda kununua sehemu nyingine
3.muda mwingine kushusha bei sio kupata wateja wengi
4.angalia bei zako kama zinaendana na washindani, kama zinaendana wateja wasikuyumbishe, wacha waende mbeleni utapata wateja wapya au hao hao wataludi ni jambo la muda

Kweli kabisa nikuweka system nzuri ya mauzo tuu ila wateja sio wakuwatongoza ni wakuwavutia ukiwatongoza mwishoni nikujuta
 
Mfano bidhaa gan izo zisizokua na bei elekezi mkuu? Mfano mi nauza feni, pasi, solar panels kufuri n.k ivo si vinabei elekezi?
Inailekea wewe una ule mtindo wa kuanzia bei kubwa sana pengine ndiyo maana wateja wanakuogopa? Au huna kauli nzuri ndiyo maana wananunua sehemu nyingine kwa bei hiyo hiyo? Au hizo sehemu nyingine kuna bidhaa wanauza rahisi zaidi?
 
Kweli kabisa nikuweka system nzuri ya mauzo tuu ila wateja sio wakuwatongoza ni wakuwavutia ukiwatongoza mwishoni nikujuta
Mwaka jana nilikuwa mgeni kwenye biashara ya hardware, mafundi na wateja baadhi walinisumbua sana kwa kupanga bei zao utasikia fulani anauza bei fulani nilikuwa nashusha kiukweli nilikuwa sipati faida nilivokomaa nikajifunza mengi
1. Haijalishi una huduma nzuri kiasi gani uwezi ukamzuia mteja akiamua kuondoa
2.wateja wengine kazi yao ni kumkatisha mfanya biashara tamaa ajione awezi hasa ukifungua biashara eneo ambalo watu wanakufahamu bei yako inaweza ikawa nzuri hakaenda kununua sehemu nyingine
3.muda mwingine kushusha bei sio kupata wateja wengi
4.angalia bei zako kama zinaendana na washindani, kama zinaendana wateja wasikuyumbishe, wacha waende mbeleni utapata wateja wapya au hao hao wataludi ni jambo la muda
Jingine la muhimu sana: acha kuchunguza sana na kuhebu ni wateja wangapi wametoka kwako na kwenda kununua kwa jirani yako. Pia acha kuhesabu wateja wanaoingia kwa jirani yako. Utapata kihoro bure. NB: wakati mwingine duka lenye bidhaa nyingi (lililojaa) linamfanya mteja aone ni sehemu ya kuaminika zaidi hivyo kama duka lako lina bidhaa chache, hata ukiuza bei sawa na mwenye duka lenye bidhaa nyingi, wateja hupenda kwenda kwenye duka kubwa.
 
Mtajie bei kubwa akilia lia ataangukia kwenye bei yako
Kwa mfano pasi umelenga uuze 20000 we mtajie 37000
Atalia hapo lazima ataangukia bei yako au azidishe we ndo umpige
Yaani kitu cha 20,000/= uanzie 37,000/=?
Hapo utaambiwa asante,ataenda kununua kwingine.
Tambua mteja mwingine huja kufanya comparison ya being pia,ili aamue wapi achukue,sasa angalia usiwe mtu wa kuulizwa tu,halafu wenzako wanauza,ni suala la business psychology.
 
Watanzania weng hupenda punguzo na usipopunguza bei anakuona umempiga na hakuna anayependa kupigwa kikubwa ni kucheza na akili zao.

Yaani kama unajua feni Yako unampango wa kuiuza Kwa elf 50 ndio upate faida basi akikuulza bei ww mwambie elf 80 ila nakusikilza boss una sh ngap lazima atajileta mwenyewe kwenye 60 akiamini kapunguziwa 20 Ili hata akitokea mwenye 45 bado kwako unakuwa umecompensate.

Hata mm nkienda dukan kununua kitu ukinitajia bei fixed aisee hata kma nilikuwa nayo nakua mgumu sana yaan nataman ionekane umepungua japo kidgo

kwahyo weka zajuu ila angalizo ukiweka za juu mteja anapokuja ukishamtajia hakikisha unamuwahi kumwambia nakusikilza una sh ngap boss Wang lazma ataingia kwenye mfumo wa kocha tu. Lakin ukitaja na kunyamaza utaona anaondoka.
80 kwa bidhaa ya 50 au 60,utaambiwa asante sana,ntakuja siku nyingine,ndo ushamkosa huyo.
 
Back
Top Bottom