Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
ZINGATIA HAYA UNAPONUNUA SIMU ILIYOTUMIKA AU KWA MTU
1. Angalia IMEI namba kwa Android na IMEI/MEID namba kwa iPhones, na zitumie kuhakikisha simu sio ya wizi
2. Kagua iwapo simu iliwahi kufanyiwa marekebisho na hakikisha vifaa vyote vipo sawa na vinafanya kazi
3. Kagua simu ina muda gani wa matumizi ili kujua kama unaweza kusasisha kupata toleo jipya la Programu Endeshi na Ulinzi
4. Kumbuka kufuta taarifa zote za mtumiaji wa awali au fanya 'Factory Reset' ili uanze kuweka vitu vyako
1. Angalia IMEI namba kwa Android na IMEI/MEID namba kwa iPhones, na zitumie kuhakikisha simu sio ya wizi
2. Kagua iwapo simu iliwahi kufanyiwa marekebisho na hakikisha vifaa vyote vipo sawa na vinafanya kazi
3. Kagua simu ina muda gani wa matumizi ili kujua kama unaweza kusasisha kupata toleo jipya la Programu Endeshi na Ulinzi
4. Kumbuka kufuta taarifa zote za mtumiaji wa awali au fanya 'Factory Reset' ili uanze kuweka vitu vyako