[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti sura ndefu kama jani la mgombaMil 500 zote kat*mbea
Akabaki na mipango tu mara nafungua kampuni niajiri watu 20, mara apost kigorofa kumbe sio chake, mara anampango wa kununua private jet pyeeee na sura ake ndefu kama jani la mgomba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umaarufu wa wasanii uchwara wengi unategemea kuongelewa..... Huyu nae hana jipya mil 500 zimeishia katikati ya mapaja
Huyo ummy ni mjinga n kilaza anaingilia ugomvi ambao sio wke istoshe yeye,kibakuli,wema wote wanamshambulia chibu hamna hata mmoja wao anakaa kwake wote wamepanga,istoshe la kupumuliwa hata ney aliimba kuhusu ummy kua n mchicha mwibaMimi toka mwanzo nilijua wanao mchokonoa Diamond wanatumwa na timu fulani ili wapate kiki maana hawawezi kuuza bila kumchokoza D....Sasa kama huyu analazimisha kuongelwa.
Lakini Diamond ameanza kunifurahisha dawa ya moto ni moto ni kuwapa dawa mpaka wanaomba interview....
Hivi yule kwenye interview yake alijibu lile Dongo la Diamond kuhusu mambo ya ukanda wa pwani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mahojiano ya Ommy amesababisha Madale wamenuniana wao kwa wao.Huyo ummy ni mjinga n kilaza anaingilia ugomvi ambao sio wke istoshe yeye,kibakuli,wema wote wanamshambulia chibu hamna hata mmoja wao anakaa kwake wote wamepanga,istoshe la kupumuliwa hata ney aliimba kuhusu ummy kua n mchicha mwiba
Hahhahahah eve acha bhana sista hahahhahahah[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mil 500 zote kat*mbea
Akabaki na mipango tu mara nafungua kampuni niajiri watu 20, mara apost kigorofa kumbe sio chake, mara anampango wa kununua private jet pyeeee na sura ake ndefu kama jani la mgomba
Nani alianza kumtusi mwenzie kati ya Diamond na Ommy ?Diamond alianzisha matusi matokeo yake kamvua mamaake nguo.Akili ni nyweleNachompendea jamaa mondi akichokozwa tu hawezi jizua anaharisha tu pasipo kujua faida na madhara yake....
jamaa hajui tu kama akiamua kukaa kimya wengi sana wasingepata umaarufu wa kuzungumzwa mitandaoni
Umaarufu wa wasanii uchwara wengi unategemea kuongelewa..... Huyu nae hana jipya mil 500 zimeishia katikati ya mapaja
Mkuu wewe sio shabiki wa kweli, ulikua unasoma upepo akosee ukimbie kambi.. Ingekua enzi zile unamshabikia Dr Remy ungepata stroke.Anajibu hovyo hovyo....
Nimemchukia ghafla
Umaarufu wa wasanii uchwara wengi unategemea kuongelewa..... Huyu nae hana jipya mil 500 zimeishia katikati ya mapaja
Yani woote utadhani ni ma ex wa diamond wanawake kwa wanaume....Uchwara haswaaaaaaaa, umenena.
Anatafuta kiki, bila Diamond wanajiona hawajawa wanaume sijui wanawake.
hahahahahahahaha Sudi atapigwa Risasi noma sana... hadi leo huwa siamini kama kweli eti Dimpoz leo hii anasema Diamond alikuwa hapendi mafanikio yake..teh tehNaona wanaunganisha nguvu Kiba, wema, jokate na dimpoz ha ha ha
Shilawaduuuu eti simu inapumuliwa jamani nimecheka sana View attachment 439095
Anatafuta hurumahahahahahahahaha Sudi atapigwa Risasi noma sana... hadi leo huwa siamini kama kweli eti Dimpoz leo hii anasema Diamond alikuwa hapendi mafanikio yake..teh teh
Yani woote utadhani ni ma ex wa diamond wanawake kwa wanaume....