Huwenda ikawa mwanadamu hapaswi kuwa na furaha ya maisha moja kwa moja

Huwenda ikawa mwanadamu hapaswi kuwa na furaha ya maisha moja kwa moja

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
11,050
Reaction score
31,412
Kupitia andiko hili kwenye Biblia, mfano alioutoa Yesu dhidi ya tajiri mkulima aliye fikia kilele cha mafanikio ilimchukiza Mungu na kuamua kumuua.

IMG_20241108_102709.jpg



Nimetafakari namna tunavyo ishi sisi wanadamu na utafutaji wetu usiofikia kikomo, leo mtu anaweza kuwa na hatua fulani kwenye maisha yake ambayo ameipigania muda mrefu lakini kesho akatamani hatua nyingine asiyo kuwa nayo.

Tunaweza kusema hatipaswa kuridhika, na pale tu tutakapo ridhika yataweza kutukuta kama ya huyo ndugu aliye tolewa mfano na Bwana Yesu.

Au tusema Mwenyezi Mungu ametuweka hapa duniani kwa madhumuni ya kuendelea kutaabika wakati wote, nikiendelea kutazama huo mfano wa huyo tajiri.

Tuendelee kuweka nia na jitihada katika utafutaji bila kufikia kilele cha kufanikiwa itakayo zaa furaha.

Lakini najiuliza kulikua na sababu gani haswa za Mungu kumuua huyo tajiri mkulima.
 
Kupitia andiko hili kwenye Biblia, mfano alioutoa Yesu dhidi ya tajiri mkulima aliye fikia kilele cha mafanikio ilimchukiza Mungu na kuamua kumuua.

View attachment 3146861


Nimetafakari namna tunavyo ishi sisi wanadamu na utafutaji wetu usiofikia kikomo, leo mtu anaweza kuwa na hatua fulani kwenye maisha yake ambayo ameipigania muda mrefu lakini kesho akatamani hatua nyingine asiyo kuwa nayo.

Tunaweza kusema hatipaswa kuridhika, na pale tu tutakapo ridhika yataweza kutukuta kama ya huyo ndugu aliye tolewa mfano na Bwana Yesu.

Au tusema Mwenyezi Mungu ametuweka hapa duniani kwa madhumuni ya kuendelea kutaabika wakati wote, nikiendelea kutazama huo mfano wa huyo tajiri.

Tuendelee kuweka nia na jitihada katika utafutaji bila kufikia kilele cha kufanikiwa itakayo zaa furaha.
Kwanza furaha ya kweli haipatikani katika dunia hii. Mt Augustine anasema roho yangu haitatulia mpaka imetulia kwako bwana.
Pili, kosa la huyo mkulima ni kwamba mafanikio yake alihisi na kuamini yametokana na juhudi na akili zake pekee. Alipaswa kumshirikisha Mungu ktk mafanikio yake eg kutoa sadaka, fungu la kumi na kusaidia maskini!
Fundisho Mungu ndie mpaji wa yote, tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo na kila hali, tuwa matajiri au tuwe maskini, wote ni mali ya Bwana. Pia furaha yetu ya kweli haimo ktk wingi wa mali!!!!
 
Maisha ya hapa Duniani hayakuwa "well planned" kuna dosari kubwa sana,......
hapana,ukifikiria hayakuwa well planned utafeli!.

fikiria hivi, Ni mfumo kabisa maisha hayapo 100% perfect na sio kwamba hayakutakiwa kuwa hivyo ni system i mean aliefanya maisha hakuwa na mamlaka ya asimilia mia kufanya yawe rahisi,bora n.k isipokuwa amejitahidi kwa kiwango chake kufanya viumbe waweze kupambana na changamoto wamazokutana nazo! na ndio maana tunakitu kinaitwa ubongo, hichi ndio kiungo cha utatuzi wa hizo changamoto na si kwamba tunaweza kutatua changamoto zote kwa kufumba na kufumbua!.

na hata kama ukitatua yote zitakuja mpya coz ulimwengu ni full of suprise and new things!.
 
Kiufundi zaidi,.
Hii dunia haina maana yeyote kwa binadamu hata kwa Mungu aliyeifanya kuwepo.

Mungu mwenyewe anaichukia sana na hata binadamu wake wanamchukia sana Mungu mwenyewe.

Binadamu amekuwa mtu wa kumkosea Mungu wake kila kukicha na Mungu pia amekuwa wa kutoa hukumu kila uchwao, huku akisisitiza adhabu ya kiwango cha juu kwa binadamu wake na matendo yao.

Hii ina maana gani!.
Hii ina maana kuwa mambo ya dunia hayako sawa kabisa.
 
hapana,ukifikiria hayakuwa well planned utafeli!.

fikiria hivi, Ni mfumo kabisa maisha hayapo 100% perfect na sio kwamba hayakutakiwa kuwa hivyo ni system i mean aliefanya maisha hakuwa na mamlaka ya asimilia mia kufanya yawe rahisi,bora n.k isipokuwa amejitahidi kwa kiwango chake kufanya viumbe waweze kupambana na changamoto wamazokutana nazo! na ndio maana tunakitu kinaitwa ubongo, hichi ndio kiungo cha utatuzi wa hizo changamoto na si kwamba tunaweza kutatua changamoto zote kwa kufumba na kufumbua!.

na hata kama ukitatua yote zitakuja mpya coz ulimwengu ni full of suprise and new things!.
ukiangalia milima, bahari, sayari na n.k,...utasifu sana uumbaji,....lakini ukiangalia maisha ya viumbe na pilika pilika zao utaulaani uumbaji,.... BINAFSI siamini katika uumbaji sababu ukiangalia maisha ya viumbe hapa Duniani, hakuna Mungu ambaye angeruhusu maisha yawe hivi,... NEVER!
 
Siku ya kuchoka ni kuingia kaburini.
Hakuna kitu hapa duniani kifanye upumzike.
We tajiri sawa utashangaa ukifa watu wanagombea mali zako.
Mkeo hamuelewani
Wazazi shida,watoto matatizo
Hapo una hela.
Unakuja kuwaza hivimimi niliumbwa niteseke tu.
Ndo hapo mtu unaamua kula mifupa kungali meno bado ipo.
"experence ba bindeko"
 
Kupitia andiko hili kwenye Biblia, mfano alioutoa Yesu dhidi ya tajiri mkulima aliye fikia kilele cha mafanikio ilimchukiza Mungu na kuamua kumuua.

View attachment 3146861


Nimetafakari namna tunavyo ishi sisi wanadamu na utafutaji wetu usiofikia kikomo, leo mtu anaweza kuwa na hatua fulani kwenye maisha yake ambayo ameipigania muda mrefu lakini kesho akatamani hatua nyingine asiyo kuwa nayo.

Tunaweza kusema hatipaswa kuridhika, na pale tu tutakapo ridhika yataweza kutukuta kama ya huyo ndugu aliye tolewa mfano na Bwana Yesu.

Au tusema Mwenyezi Mungu ametuweka hapa duniani kwa madhumuni ya kuendelea kutaabika wakati wote, nikiendelea kutazama huo mfano wa huyo tajiri.

Tuendelee kuweka nia na jitihada katika utafutaji bila kufikia kilele cha kufanikiwa itakayo zaa furaha.

Lakini najiuliza kulikua na sababu gani haswa za Mungu kumuua huyo tajiri mkulima.
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
Kiufundi zaidi,.
Hii dunia haina maana yeyote kwa binadamu hata kwa Mungu aliyeifanya kuwepo.

Mungu mwenyewe anaichukia sana na hata binadamu wake wanamchukia sana Mungu mwenyewe.

Binadamu amekuwa mtu wa kumkosea Mungu wake kila kukicha na Mungu pia amekuwa wa kutoa hukumu kila uchwao, huku akisisitiza adhabu ya kiwango cha juu kwa binadamu wake na matendo yao.

Hii ina maana gani!.
Hii ina maana kuwa mambo ya dunia hayako sawa kabisa.
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
Kwanza furaha ya kweli haipatikani katika dunia hii. Mt Augustine anasema roho yangu haitatulia mpaka imetulia kwako bwana.
Pili, kosa la huyo mkulima ni kwamba mafanikio yake alihisi na kuamini yametokana na juhudi na akili zake pekee. Alipaswa kumshirikisha Mungu ktk mafanikio yake eg kutoa sadaka, fungu la kumi na kusaidia maskini!
Fundisho Mungu ndie mpaji wa yote, tunapaswa kumshukuru kwa kila jambo na kila hali, tuwa matajiri au tuwe maskini, wote ni mali ya Bwana. Pia furaha yetu ya kweli haimo ktk wingi wa mali!!!!
Furaha haipo katika wingi wa mali, ni sawa ila ni wapi tunatakiwa kuipata hio furaha?
MT Agustino alisema hivyo yeye kama yeye ama ama ni kitu tunachopaswa kukiishi sote?
 
Kupitia andiko hili kwenye Biblia, mfano alioutoa Yesu dhidi ya tajiri mkulima aliye fikia kilele cha mafanikio ilimchukiza Mungu na kuamua kumuua.

View attachment 3146861


Nimetafakari namna tunavyo ishi sisi wanadamu na utafutaji wetu usiofikia kikomo, leo mtu anaweza kuwa na hatua fulani kwenye maisha yake ambayo ameipigania muda mrefu lakini kesho akatamani hatua nyingine asiyo kuwa nayo.

Tunaweza kusema hatipaswa kuridhika, na pale tu tutakapo ridhika yataweza kutukuta kama ya huyo ndugu aliye tolewa mfano na Bwana Yesu.

Au tusema Mwenyezi Mungu ametuweka hapa duniani kwa madhumuni ya kuendelea kutaabika wakati wote, nikiendelea kutazama huo mfano wa huyo tajiri.

Tuendelee kuweka nia na jitihada katika utafutaji bila kufikia kilele cha kufanikiwa itakayo zaa furaha.

Lakini najiuliza kulikua na sababu gani haswa za Mungu kumuua huyo tajiri mkulima.
Ukifurahi tu ujue ndio mwisho wako. Muulize CAG wa Gine.
 
Siku ya kuchoka ni kuingia kaburini.
Hakuna kitu hapa duniani kifanye upumzike.
We tajiri sawa utashangaa ukifa watu wanagombea mali zako.
Mkeo hamuelewani
Wazazi shida,watoto matatizo
Hapo una hela.
Unakuja kuwaza hivimimi niliumbwa niteseke tu.
Ndo hapo mtu unaamua kula mifupa kungali meno bado ipo.
"experence ba bindeko"
Huyo Tajiri mwenyewe halali usiku na mchana bado yuko bize.

Mpaka unashangaa sasa hizo mali za nini?
 
hapana,ukifikiria hayakuwa well planned utafeli!.

fikiria hivi, Ni mfumo kabisa maisha hayapo 100% perfect na sio kwamba hayakutakiwa kuwa hivyo ni system i mean aliefanya maisha hakuwa na mamlaka ya asimilia mia kufanya yawe rahisi,bora n.k isipokuwa amejitahidi kwa kiwango chake kufanya viumbe waweze kupambana na changamoto wamazokutana nazo! na ndio maana tunakitu kinaitwa ubongo, hichi ndio kiungo cha utatuzi wa hizo changamoto na si kwamba tunaweza kutatua changamoto zote kwa kufumba na kufumbua!.

na hata kama ukitatua yote zitakuja mpya coz ulimwengu ni full of suprise and new things!.
Ukisoma katika vitabu mtiririko wa usimuliaji wa maisha na uhai mwanzo na muendelezo wake utagundua kukosea kwingi na huyo beginner ama wasimuliaji na waandikaji hawaku somana.
Nakubalina nawe hoja yako hii.
 
Kupitia andiko hili kwenye Biblia, mfano alioutoa Yesu dhidi ya tajiri mkulima aliye fikia kilele cha mafanikio ilimchukiza Mungu na kuamua kumuua.

View attachment 3146861


Nimetafakari namna tunavyo ishi sisi wanadamu na utafutaji wetu usiofikia kikomo, leo mtu anaweza kuwa na hatua fulani kwenye maisha yake ambayo ameipigania muda mrefu lakini kesho akatamani hatua nyingine asiyo kuwa nayo.

Tunaweza kusema hatipaswa kuridhika, na pale tu tutakapo ridhika yataweza kutukuta kama ya huyo ndugu aliye tolewa mfano na Bwana Yesu.

Au tusema Mwenyezi Mungu ametuweka hapa duniani kwa madhumuni ya kuendelea kutaabika wakati wote, nikiendelea kutazama huo mfano wa huyo tajiri.

Tuendelee kuweka nia na jitihada katika utafutaji bila kufikia kilele cha kufanikiwa itakayo zaa furaha.

Lakini najiuliza kulikua na sababu gani haswa za Mungu kumuua huyo tajiri mkulima.
Shida yote ilianzia yule mwanamke alipokula tunda la mti wa senta
 
Kupitia andiko hili kwenye Biblia, mfano alioutoa Yesu dhidi ya tajiri mkulima aliye fikia kilele cha mafanikio ilimchukiza Mungu na kuamua kumuua.

View attachment 3146861


Nimetafakari namna tunavyo ishi sisi wanadamu na utafutaji wetu usiofikia kikomo, leo mtu anaweza kuwa na hatua fulani kwenye maisha yake ambayo ameipigania muda mrefu lakini kesho akatamani hatua nyingine asiyo kuwa nayo.

Tunaweza kusema hatipaswa kuridhika, na pale tu tutakapo ridhika yataweza kutukuta kama ya huyo ndugu aliye tolewa mfano na Bwana Yesu.

Au tusema Mwenyezi Mungu ametuweka hapa duniani kwa madhumuni ya kuendelea kutaabika wakati wote, nikiendelea kutazama huo mfano wa huyo tajiri.

Tuendelee kuweka nia na jitihada katika utafutaji bila kufikia kilele cha kufanikiwa itakayo zaa furaha.

Lakini najiuliza kulikua na sababu gani haswa za Mungu kumuua huyo tajiri mkulima.
Ndivyo ilivyo pengine anaweza kukufuru
 
Back
Top Bottom