Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Wanaume siku hizi tumekuwa wazuri hadi tunawazidi wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa nchi gani huyu??
Papai kabisa hili
Kuna taarabu ya zamani sina uhakika kama ya Kenya au Zanzibar ina maneno '... Kujiremba na kusuka nyele ni fahari ya bwana....' nafikiri hata kwa huyu nia ni hiyo hiyo!
Hapana hiyo ni style ya watoto wa kike wadogo.Jamaa kasuka style tuliyozoea kuiona kwa wanawake kbsa😂
Inaitwaje kumbe? Kwetu nasikiaga wakiita puscat😂Hapana hiyo ni style ya watoto wa kike wadogo.