Huwezi Amini, Raja wa hatya kumbe Demu!

komba05

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
367
Reaction score
291
Picha hizo zikionyesha jinsi alivyokuwa ktk uhusika wake ktk Hatya kama mtoto wa kiume, na nyingine ikimwonyesha nje ya filamu!

Anaitwa Sujitha, alizaliwa 12/7/1983! Mume wake anaitwa Dhanush, ana watoto wawili! Alicheza hatya mwaka 1988!

Kweli wadosi nimewakubali aisee kwa mautundu!


Akiwa mtoto kwenye filamu. (wa kiume)


Alivyo sasa..
 
Last edited by a moderator:
Duh umenikumbusha mbali aisee.. first time nimeangalia hiyo movie ilikua mwaka 92 na sikulala usiku...
inasikitisha sana
 
Amekaa kidumedume.
 
Yesuuu wangu kumbe huku jf unaweza mtukana babu yako bila kujua....92???????? yaani hata kufikiriwa sijajua
Kwani wewe una umri gani... Mbona umeshtuka sana? 92 mimi nilikua std 4. So if ur clever enoug you can guess on my age.

Hyo movie ilitubamba sana watoto enzi hzo... Tena kwa kuchungulia madirishani..
 
Kwani wewe una umri gani... Mbona umeshtuka sana? 92 mimi nilikua std 4. So if ur clever enoug you can guess on my age.

Hyo movie ilitubamba sana watoto enzi hzo... Tena kwa kuchungulia madirishani..
Movie za kuchungulia dirishani nimecheki sana banda umiza....mimi 2006 ndo nipo darasa la 4 jus imagine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…