Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
SIMBA:Klabu ya Esperance imethibitisha kwamba mchezaji Javier Besala Bokungu aliyeichezea Mazembe katika mchezo wa kwanza dhidi ya Simba ni mchezaji wao halali. Kwamujibu wa habari zilizopatika Tunisia asubuhi hii!!! Nitaendelea kufuatilia kwa makini ukweli halisi na kuwajuza