Magonjwa Mtambuka yameibuka huko
Lizaboni hasahasa
stroke. Inasemekana kuwa
Magonjwa Mtambuka hayo yanasabishwa na
Sumu kama
sumu-ya-panya na kadhalika. Mmoja wa walioathirika ni
Kada wa CHADEMA na hata
Kada mwandamizi wa CCM.
Inasemwa kuwa mambo hayo ni
Heaven Sent na yanahitaji
Heaven Doctor na kuwa
Heaven on Earth .
Kiranga chetu kimetuponza. Yatupasa kumrudia
Nguruvi3 ili atusaidie. Katika sehemu nyingine,
Watu kama
Watu8 hivi wako
MOTOCHINI na wanaendelea na michapo yao.
Huwezi kuamini...
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)