VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Magonjwa Mtambuka yameibuka huko Lizaboni hasahasa stroke. Inasemekana kuwa Magonjwa Mtambuka hayo yanasabishwa na Sumu kama sumu-ya-panya na kadhalika. Mmoja wa walioathirika ni Kada wa CHADEMA na hata Kada mwandamizi wa CCM.
Inasemwa kuwa mambo hayo ni Heaven Sent na yanahitaji Heaven Doctor na kuwa Heaven on Earth . Kiranga chetu kimetuponza. Yatupasa kumrudia Nguruvi3 ili atusaidie. Katika sehemu nyingine, Watu kama Watu8 hivi wako MOTOCHINI na wanaendelea na michapo yao.
Huwezi kuamini...
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Inasemwa kuwa mambo hayo ni Heaven Sent na yanahitaji Heaven Doctor na kuwa Heaven on Earth . Kiranga chetu kimetuponza. Yatupasa kumrudia Nguruvi3 ili atusaidie. Katika sehemu nyingine, Watu kama Watu8 hivi wako MOTOCHINI na wanaendelea na michapo yao.
Huwezi kuamini...
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)