Huwezi kujiita shetani la muda tu

Huwezi kujiita shetani la muda tu

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
It goes with words,it comes with karma

Maneno huumba, manchester united kujiita shetani waliingia choo cha kike ni kitu kibaya sana hawatainuka tena mpaka waende kanisani wakatubu na kubadilisha jina
Kama hawatatubu wasubirie majivu ya mzee fagie akiitwa na Mungu wakayamwage pitch za old trafard

Timu imeunganishwa na nguvu za giza ila makocha wake ni watu clean it can't work

Ulaya kocha anayetumia magic amebaki Conte tu wengine ni siprutal hawataki ushirikina,
Manchester united wapo kwenye dimbwi wasipobadilisha kujiita shetani watafutika kwenye soka la ushindani
 
Back
Top Bottom