Mandela5599
Member
- Jul 28, 2020
- 93
- 306
Mambo vipi wadau!
Nataka nitumie jukwaa hili kuwakumbusha vijana wenzangu kwamba ni dhahiri kila mmoja wetu anatanani kuwa mtu mwema
Hakuna mlevi anaependa kulala mitaroni kwa ulevi au kujidhalilisha
Hakuna mtu anaependa kuwa na hasira kali zinazo haribu hatma ya maisha yake na wengine
Hakuna mtu anaependa kuua, kubaka, kulawiti au ushoga au usagaji au punyeto.
Wengi wakimaliza kufanya hivyo vitendo wanabaki kujilaumu, kujuta na wengine wanaenda mbali zaidi kwa kutaka kujiua...
This is to tell you sio akili zao ila ni power within inapush wao kufanya yasiyo faa
Mtume Paulo anasema "ninayotenda siyo ninayopenda kuyatenda....." biblical evidence kwamba haiwezekani ukaamua kutenda mema kwa nguvu zako ukafanikiwa. UTACHOKA TU
So kama umbavyo kuna nguvu inakupush kufanya maovu ndani yako vivyo hivyo ipo super natural power itakayokupa kushinda vishawishi vya mambo maovu ndani yako
Personally nilikua affected na punyeto na porno lakini kwa nguvu zangu mwenyewe nilishindwa kuacha. Psychologist hawakuweza kunisaidia, madhara mengi yanayotajwa kwenye social media hayakuweza kunipa suluhisho la kudumu
Nilipogundua kwamba maisha yangu yapo mara mbili, ya kiroho na kimwili na kwamba mafanikio yangu kwenye ulimwengu wa mwili yanategemea mafanikio yangu kiroho, nilichunguza kwa bidii nikagundua kwamba punyeto na porno zimeblock maisha yangu kwa muda mrefu
Nilifanya uamuzi wa kumpa Yesu maisha yangu, kujifunza kwa bidii Neno la Mungu na kuishi kilicho andikwa humo. Maisha yangu yalifunguka na nilianza kuona mwanga kwenye mambo mengi sana... Nilitafuta mtumishi wa Mungu, akaniombea nikafunguka na kuwa huru
Ukimpa Yesu maisha yako haina maana kwamba hutakosea, No, kukosea kupo ila unapokosea unamkimbilia anakusafisha na maisha yanaendelea na zaidi ni kwamba mwisho wa safari yako utaurithi uzima wa milele mbinguni...
Je, kuna tabia ndani yako ambayo unaichukia lakini inakutesa na unajikuta umeirudia na baada ya kuirudia unajuta kwanini umefanya?? Inawezekana umejikatia tamaa, umekubuhu kwenye hiyo tabia lakini hata Paulo alikuwa muuaji, alichinja wengi lakini Yesu alimfanya chombo kipya, usiogope, usikate tamaa, usifikirie kujiua, Yesu yupo na anapatikana bure... hakuna gharama
Mkubali leo ukufanye chombo kipya. Hallelujah
Nataka nitumie jukwaa hili kuwakumbusha vijana wenzangu kwamba ni dhahiri kila mmoja wetu anatanani kuwa mtu mwema
Hakuna mlevi anaependa kulala mitaroni kwa ulevi au kujidhalilisha
Hakuna mtu anaependa kuwa na hasira kali zinazo haribu hatma ya maisha yake na wengine
Hakuna mtu anaependa kuua, kubaka, kulawiti au ushoga au usagaji au punyeto.
Wengi wakimaliza kufanya hivyo vitendo wanabaki kujilaumu, kujuta na wengine wanaenda mbali zaidi kwa kutaka kujiua...
This is to tell you sio akili zao ila ni power within inapush wao kufanya yasiyo faa
Mtume Paulo anasema "ninayotenda siyo ninayopenda kuyatenda....." biblical evidence kwamba haiwezekani ukaamua kutenda mema kwa nguvu zako ukafanikiwa. UTACHOKA TU
So kama umbavyo kuna nguvu inakupush kufanya maovu ndani yako vivyo hivyo ipo super natural power itakayokupa kushinda vishawishi vya mambo maovu ndani yako
Personally nilikua affected na punyeto na porno lakini kwa nguvu zangu mwenyewe nilishindwa kuacha. Psychologist hawakuweza kunisaidia, madhara mengi yanayotajwa kwenye social media hayakuweza kunipa suluhisho la kudumu
Nilipogundua kwamba maisha yangu yapo mara mbili, ya kiroho na kimwili na kwamba mafanikio yangu kwenye ulimwengu wa mwili yanategemea mafanikio yangu kiroho, nilichunguza kwa bidii nikagundua kwamba punyeto na porno zimeblock maisha yangu kwa muda mrefu
Nilifanya uamuzi wa kumpa Yesu maisha yangu, kujifunza kwa bidii Neno la Mungu na kuishi kilicho andikwa humo. Maisha yangu yalifunguka na nilianza kuona mwanga kwenye mambo mengi sana... Nilitafuta mtumishi wa Mungu, akaniombea nikafunguka na kuwa huru
Ukimpa Yesu maisha yako haina maana kwamba hutakosea, No, kukosea kupo ila unapokosea unamkimbilia anakusafisha na maisha yanaendelea na zaidi ni kwamba mwisho wa safari yako utaurithi uzima wa milele mbinguni...
Je, kuna tabia ndani yako ambayo unaichukia lakini inakutesa na unajikuta umeirudia na baada ya kuirudia unajuta kwanini umefanya?? Inawezekana umejikatia tamaa, umekubuhu kwenye hiyo tabia lakini hata Paulo alikuwa muuaji, alichinja wengi lakini Yesu alimfanya chombo kipya, usiogope, usikate tamaa, usifikirie kujiua, Yesu yupo na anapatikana bure... hakuna gharama
Mkubali leo ukufanye chombo kipya. Hallelujah