Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

Uzuri wa haya mambo hakuna wa kulazimisha wewe tu mwenyewe ukiamia unayafuata na kama hutaki unaachana nayo
 
Dini zote duniani zina basis ya mila na tamaduni fulani

Kama waislam watakavyo kataa dini yao kuwa na basis za mila na tamaduni za kiarabu basi hata wewe pia utakataa dini ya ya Ukristo kuwa na basis ya mila na damaduni za Warumi kwa kiasi kikubwa

Mimi sibishi kuhusu mila na desturi za wengine kuhusu dini. Shida yangu ni; uislam umekuwa mtumwa wa uarabu. Huwezi ku practice uislam bila kuwa endeleza uarabu.

Mfano mdogo tu. Hata wakisalimiana watatumia kiarabu, swala 5 watatamka maneno yale kwa lugha ya kiarabu. Sasa hapo utofauti wanaousema kati ya vitu hivyo viwili.
 
Uislamu umeletwa na Muhamad. Hilo hatuhitaji kuwa laghai watu. Miaka hii wameelimika wanaifaham Quran tofauti na zamani.
 
Uzuri wa haya mambo hakuna wa kulazimisha wewe tu mwenyewe ukiamia unayafuata na kama hutaki unaachana nayo

Uko sahihi. Lkn ukipata fursa ya kutoa mawazo yako m'badala kwa wengine jaribu kufanya hivyo kwa njia inayoeleweka.

Mfano mwingine ambao napenda juutoa kwa watu, wanasiasa ni kuwa, CCM chama dola ni ngumu sana kuitenganishq na serikali. Hivi kwamba watu wa kawaida wakiona chama kinagombea dola na CCM ktk uchaguzi kinaonekana kama vile kinataka kuipindua serikali. Kwa sababu kwao wanaona CCM ni serikali. Kwa hiyo jambo la msingi ni kutoa elimu kwamba CCM siyo serikali ni chama cha siasa kama vingine. Licha ya kuwa CCM inatembelea nyota ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo wengi hupata shida kujua kwamba ni chama kilichotokana na muunganiko TANU na ASP. Lakini siyo zao la muunganiko wa serikali zilizokuwepo.

Na waislam wanapaswa kuelimishwa hayo pia.
 
Yesu alikuwa Myahudi lakini ameeneza ukristo japo wafuasi wake wamekuwa wakijipendekeza kwa Wayahudi.
 
Dini yetu haiend hivo mkuu..!

Labda sijakuelewa, inanmaana ukitaka kuongea na muumini mwenzako kumshauri kwamba (mf) aache zinaa si unamtqzamisha aya katika kuruwani? Au ukitaka kuwaasa watoto waiting wazazi si kuna aya utawasomea?
Sijui ulimaanisha nini!!!
 
Sasa wewe hufikiri kwa nini iwe kiarabu na isiwe kihindi au kichina
iyo itakuwa
Sasa wewe hufikiri kwa nini iwe kiarabu na isiwe kihindi au kichina
kumbe unachukia kiarabu kutumika.wewe ulitaka iwe lugha gani?sikuzote lugha moja unganisha jamii ya watu ndio maana mugu akatuambia sisi waislam kwamba ameitelemsha qurani kwa lugha ya kiarabu iliwenyepesi kwetu kutumika
 
Yesu alikuwa Myahudi lakini ameeneza ukristo japo wafuasi wake wamekuwa wakijipendekeza kwa Wayahudi.

Baadhi ya wakristo hawajui aya zinasemaje. Pia hawajui kuwa wayahudi hawaamini katika Yesu ambaye walimuua. Wenyewe wanamuita mtoto wq fundi seremala. Kuna Yesu wao ambaye ndiyo wanayemtarajia.
 
Iko sahihi sana, na hapa ndio watu Huwa wanashindwa kuelewa tofauti ya Uislam na Ukristo.

Kwamba wakati Uislam ni dini yenye basis ya Mila na desturi, Ukristo ni dini iliyobase katika Imani kwa njia ya YESU Kristo.
Mila na desturi ni nini na ukristo maana yake nini
 
Mnataka kutumia kiswahili kufundishia physics? Mwambie mtoto afafanue quantum mechanics au theory of general relativity kwa kiswahili kama hamalizi ufafanuzi akiwa na kifafa
 
iyo itakuwa

kumbe unachukia kiarabu kutumika.wewe ulitaka iwe lugha gani?sikuzote lugha moja unganisha jamii ya watu ndio maana mugu akatuambia sisi waislam kwamba ameitelemsha qurani kwa lugha ya kiarabu iliwenyepesi kwetu kutumika

Sichukii kiarabu. Ila nashangaa jjnsi idadi kubwa hivyo ya watu duniani walivyonaswa kwenye mtego huo.

Pia nioneshe kifungu ndani ya kuruwan kinachosema msahafu umetelemshwa kwa lugha ya kiarabu ili iwe rahisi kuielewa.
Hata hujiulizi hadhira iliyokuwa inapelekewa kuruwan ilikuwa ni jamii ya lugha gani?
 
Huko kuhoji kwanini usikuhoji kwenye dini yako iliyo jaa makado kado kibao ila uwashwe washwe na kuhoji dini zingine zisizo kuhusu.
Kama ww unataka waisilam waache kutumia kiarabu basi na nyinyi acheni kutumia biblia iliyo buniwa na paulo badala yake mtengeneze ya kwenu waswahili.

Ebu nitajie dhehebu lolote la kikiristo ambalo waasisi wao hawakokea Ulaya?
 
Mnataka kutumia kiswahili kufundishia physics? Mwambie mtoto afafanue quantum mechanics au theory of general relativity kwa kiswahili kama hamalizi ufafanuzi akiwa na kifafa

Ila kuishi Afrika ni mzigo wa kuni. Sasa wewe kwa uelewa wako unafikiri physics inayofundishwa Urusi, China, ujerumani, Korea, Iran nk ni ya kiingereza?
Kwa nini isiwezekane kuwa na quantum physics kwa kiswahili?
 

Endelea kujisomesha ili upate maarifa ya kujenga hoja kwenye mijadala mizito kama hii.
 
Papa kutufuta kwenye dhehebu? Narudia tena nilichoandika awali; Ukatoliki unatokomea bara la Amerika na unatokomea ulaya; the last stronghold ya Ukatoliki ni Afrika na bara la Asia A.K.A bila sisi hawana chao ndani ya miongo miwili mitatu
Na ndio maana nimeandika kwa confidence yote kwamba tutapata Papa Mwafrika kabla ndugu zetu Waislamu hawajapata kiongozi wa Kiroho ambaye sio mwarabu; in fact Nina confidence kubwa kwamba kanisa Katoliki halijahalalisha ushoga kwasababu linaelewa kufanya hivyo ni guarantee ya mpasuko na kanisa Katoliki la Africa
 
Ila kuishi Afrika ni mzigo wa kuni. Sasa wewe kwa uelewa wako unafikiri physics inayofundishwa Urusi, China, ujerumani, Korea, Iran nk ni ya kiingereza?
Kwa nini isiwezekane kuwa na quantum physics kwa kiswahili?
Kwasababu tumekwisha chelewa!
Tukubali tukatae dunia inaenda kuwa na lingua franca moja au mbili ; badala ya kupoteza muda kukaririsha watu misamiati mipya ambayo ni technical kwanini tusifanye kama wahindi ambao wanatumia kihindi panapohitajika na kiingereza kwenye masuala technical
 
Wewe jamaa nimegundua kama huna hoja ama hujui unacho kisema huko juu unakubali kisa Jesu kapingwa na wayahudi ndio uyahudi unakua sio dini ila huku kwa s a w hujui ama hutaki kujua ama kuelewa kwamba hata s a w alipingwa na kupigwa vita na wenye dini zao ambao hawakuwa waislam wakiwemo maquraysh na waarabu wengine hili hulijui ume wasifia Mabudha nk unadhani kama wewe utataka kufata dini ya kibudha ukasoma kibudha mienendo yake utakua umefata Mabudha au imekuaje jamaa huna hoja hata s a w alipingwa na waarabu wakati anahubiria uislam mpaka wakawa wanamkashifu kwakumwita yatima na majina mengine ya hovyo hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…