Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

Wewe bado ni mtumwa wa fikra
 
Wewe umejuaje kuwa mifumo ya jamii zetu za kuabudu haikua imara?!,kilichotokea kwa waafrika ni kuwa tumeacha mila na tamaduni zetu tukafuata za watu,mtu anajiua historia ya uzao wa Ibrahim au Joseph kuliko ya mababu zake halafu anajiona yupo sawa kichwani,kama mleta mada alivyosema uislam ni mila za kiarabu kutokana na sababu alizoziorodhesha hapo juu na basi na dini ya ukristo sio imani za waafrika,waafrika tuna imani zetu kutokana na jamiii/kabila husika
 

Unapojadili hoja jaribu kutofautisha kati ya hisia na uhalisia. Nimeuliza maswali mengi lkn hakuna hoja hata moja mliyoijibu. Badala yake mnanishukia mtoa hoja. Jibuni zile hoja 9 kwa kutumia authority husika. Usilete brah brah. I'm a scientific minded person. Nataka hoja kwa hoja
 
"Na hatukumpeleka Mtume yeyote isipokuwa kwa lugha ya watu wake ili apate kuwabainishia. Kisha, Mwenyezi Mungu anamuacha kupotea amtakaye (kwa kuwa hataki kufuata ujumbe uliomfikia wazi wazi) na humuongoza amtakaye. Naye ni Mwenye nguvu na Mwenye Hekima." (14:4)"

👆👆Ok wewe muafrika ukasahaulika kushushiwa mtume wa kabila lako,,wewe huko nalinjilingi ukaona zile zile ibada za wazee wako hazifai ila hizi za kiarabu ndio sahihi kwako kuzifuata
 

Hawajui ya kuwa wanatumika na uislam kuendeleza tamaduni, mila na desturi za kiarabu. Mudi kawakataza kutumia lugha na majina yao ya asili isipokuwa kiarabu, halafu bado wanasema kuna utofauti.
 
Mtakuja na kila hoja ya kupinga na kuutetea uislam,lakin utabaki kuwa uislam ni mila za kiarabu,ni mtu mjinga pekee asietumia akili yake ndio ataamini uislamu si uarabu

Bro umemaliza. Wee watu gani hata wakionana wanaanza kusalimiana asalam aleykum. Utafikiri wako Oman 🇴🇲 kumbe ni kina FaizaFoxy wa kimanzi chana

😛
 
uwe una swali kwa kutumia lugha ya mila yako basi kama quruan si kiarabu,na Mkiwa mnafunga zile ndoa zenu muache kufunga misuli na kuweka majambia huko viunoni na muache kupika mabirani na kuweka kaswida, sababu hivyo vyote ni tamaduni za waarabu

Bro umemaliza kila kitu. Watabisha sana. Lakini ukweli wanaujua.
 

Bro wewe kweli ni muislam halisi kiufahamu, sina uhakika kiimani. Maana unaleta aya iliyonyooka kuleta ushahidi.
Kina Bwana Utam FaizaFoxy Kosugi wanaongea ongea tu bila authority.
 
Uislam upi na wakati mnasema kuruwan ilishushwa wakati wake
Yaan wanajichanganya hao,kutetea imani ambayo sio yako kazi sana,halafu mbaya zaidi ndani ya hivyo vitabu wamekatazwa matumizi ya akili,yaan wewe hutakiwi kuhoji kila utakachokisoma huko kubaliana nacho,ndio maana unaweza kuona mtu ana uelewa mpana wa mambo ya ulimwengu lakin anaposoma hicho kitabu akili zake anaziweka pembeni kwasababu akihoji tuu amemkufuru allah
 
Mfumo wa uongozi mmoja ulikwisha zamani sana kiongozi wa mwisho alkuwa Alli bin Abitwalib....kwahiyo uislam ni tofauti na ukiristo

Sema ni tofauti na Roman Catholic wenyewe ndiyo bado wako authoritative.
 

Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Usipojua kiarabu huna chako katika pepo ya kiislam.
 
Yaani wewe ni kizazi mbatata,kinachosababisha uislam uwe uarabu si lugha au?

Huyu Bwana Utam hajui tamaduni, mila na desturi za jamii yoyote ile hutambulishwa kwanza kabisa na lugha. Halafu mambo mengine yanafuatia. Sasa nyie 99% ya ibada yenu inasadifiwa na lugha ya kiarabu. Halafu unakaza fuvu eti uislam haujafungwa ndani ya uarabu.
 
Wewe siyo mstaarabu?
Leo hoja imekuzidi 😂 umeshindwa kuwatetea ndugu zako katika imani,Ni suala la muda tuu ila uwongo wa hizi imani mbili zitajulikana kwa waafrika,watu watataka kujua ilikuaje zikafika Africa,muda walitumia hawa wakoloni kueneza propaganda zao ndio muda huo huo Afrika itatumia kurudi kwenye asili yake
Wewe siyo mstaarabu?
 

Attachments

  • FB_IMG_1731619891334.jpg
    57.1 KB · Views: 3
Mtakuja na kila hoja ya kupinga na kuutetea uislam,lakin ukweli utabaki kuwa uislam ni mila za kiarabu,ni mtu mjinga pekee asietumia akili yake ndio ataamini uislamu si uarabu
Sio kweli unajua kama waarabu walimpinga mtume s a w wakati anawahubiria qur an na uislam mpaka wakawa wanampa kejeli na kumwambia kama qur an uzushi kutunga nk au hujasoma hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…