Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hakuna sehemu nimesema qur an sio kiarabu kuhusiana na kufunga majambia sijui nini wala hayahusiani na dini ya uislam ufunge jambia ueke biriani ama qaswida haitafanya ndoa kuishi ama kuto kusihi ndoa ina sharti na sharia zake ili kusihi hayo majambia mbwembwe tuuwe una swali kwa kutumia lugha ya mila yako basi kama quruan si kiarabu,na Mkiwa mnafunga zile ndoa zenu muache kufunga misuli na kuweka majambia huko viunoni na muache kupika mabirani na kuweka kaswida, sababu hivyo vyote ni tamaduni za waarabu
Hujazaliwa kwenye uislam na kama umezaliwa basi hukuwahi kuujua uislam sababu usingeuliza hapo juu kwamba eti Allah hakujua kama kuna jamii nyengine wewe mpagani tokea awaliMm nimezaliwa ndani ya uislamu na ukristo lakni baada kuujua ukweli kuhusu hizi dini mbili nimeziacha kwa sababu sio asili yangu
Hoja ipi ambayo hujajibiwa unajibiwa hoja unaleta vioja unataka watu wakujibuje sasa kama sio kuku acha tuuuUnapojadili hoja jaribu kutofautisha kati ya hisia na uhalisia. Nimeuliza maswali mengi lkn hakuna hoja hata moja mliyoijibu. Badala yake mnanishukia mtoa hoja. Jibuni zile hoja 9 kwa kutumia authority husika. Usilete brah brah. I'm a scientific minded person. Nataka hoja kwa hoja
Nenda karudie swali limeulizaje kijana acha kukurupukiaHawa waliopo hapa Tanzania shekh mkuu unataka kusema sio kiongozi wa kiroho?
Kama lugha ndio inasababisha uislam kua uarabu kwa maanaa hii wanao ongea kiarabu wote waislam auYaani wewe ni kizazi mbatata,kinachosababisha uislam uwe uarabu si lugha au?
Leta ushahidi hakuna ushahidi kama uislam umeletwa na s a w kama upo uleteUshahidi si hio quruan yenu unataka ushahidi gani tena shekh🤷♂️
99 ya ibada ipi inayo fanyika kwa kiarabu ibada pekee ambayo 99 ama yote inafanyika kwa kiarabu ni sala nyengine unapiga hata kikwenuHuyu Bwana Utam hajui tamaduni, mila na desturi za jamii yoyote ile hutambulishwa kwanza kabisa na lugha. Halafu mambo mengine yanafuatia. Sasa nyie 99% ya ibada yenu inasadifiwa na lugha ya kiarabu. Halafu unakaza fuvu eti uislam haujafungwa ndani ya uarabu.
Ww ndo unatumia hisia na ndio maana hutaki kuelimishwa na wenye elimu juu ya ulicho kileta.Unapojadili hoja jaribu kutofautisha kati ya hisia na uhalisia. Nimeuliza maswali mengi lkn hakuna hoja hata moja mliyoijibu. Badala yake mnanishukia mtoa hoja. Jibuni zile hoja 9 kwa kutumia authority husika. Usilete brah brah. I'm a scientific minded person. Nataka hoja kwa hoja
Hakuna Huo Ushahidi wao wenyewe Kwenye Historia Zao wayahudi wanakataa 😅😅Leta ushahidi kuwa Yesu Myahudi.
Ukatoliki ,usabato, urokole ni desturi za muafirika?Uislam ni ustaarabu wa uarabuni. Usitake kufungamisha watu na ustaarabu huo. Hatutaki.
Mimi ni mstaarabu wa tamaduni, mila na desturi zetu.
Kwenye ukiristo mtoto anapo batizwa jina la kiroho kanisani majina ya asili yanaruhusiwa?Hawajui ya kuwa wanatumika na uislam kuendeleza tamaduni, mila na desturi za kiarabu. Mudi kawakataza kutumia lugha na majina yao ya asili isipokuwa kiarabu, halafu bado wanasema kuna utofauti.
Kama lugha ndio inasababisha uislam kua uarabu kwa maanaa hii wanao ongea kiarabu wote waislam au
Leta ushahidi hakuna ushahidi kama uislam umeletwa na s a w kama upo ulete
Ww ndo unatumia hisia na ndio maana hutaki kuelimishwa na wenye elimu juu ya ulicho kileta.
Ww lengo lako lilikuwa ni dhihaka na kuleta kejeli ili utimize matamanio ya moyo wako.
Huwezi ukawa na akili alafu ukawaponda waisilam eti ni watumwa wa tamaduni wa kiarabu. Alafu wakati huo ww ni mtumwa wa dini zilizo anzishwa na akina Paulo na Martin Luther King badala ya kuabudu dini walizo kuwa wana abudu akina mkwana na mwana marunde.
Hamtaki waisilam wavae hijabu wakati huo wake zenu wanatembea na kilo 10 za mawigi kichwani.
Ukatoliki ,usabato, urokole ni desturi za muafirika?
Kwenye ukiristo mtoto anapo batizwa jina la kiroho kanisani majina ya asili yanaruhusiwa?
Ww jamaa wenda hauko sawa.
Kiongozi kuna lugha isiyoeleweka? kwako huenda haieleweki ila kuna wengone wanaielewaKurudia rudia maneno yale yale mara 5 kwa siku kwa lugha isiyo eleweka inafanya wengi wahisi ni namna ya ibada yenye ubaguzi. Inabagua watu wasiojua lugha ya kiarabu
Hakuna sehemu nimesema qur an sio kiarabu kuhusiana na kufunga majambia sijui nini wala hayahusiani na dini ya uislam ufunge jambia ueke biriani ama qaswida haitafanya ndoa kuishi ama kuto kusihi ndoa ina sharti na sharia zake ili kusihi hayo majambia mbwembwe tu