Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Leta ushahidi kama uislam umeletwa na s a wUislamu umeletwa na Muhamad. Hilo hatuhitaji kuwa laghai watu. Miaka hii wameelimika wanaifaham Quran tofauti na zamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta ushahidi kama uislam umeletwa na s a wUislamu umeletwa na Muhamad. Hilo hatuhitaji kuwa laghai watu. Miaka hii wameelimika wanaifaham Quran tofauti na zamani.
Mfumo wa uongozi mmoja ulikwisha zamani sana kiongozi wa mwisho alkuwa Alli bin Abitwalib....kwahiyo uislam ni tofauti na ukiristoKwamba hamna kiongozi mmoja kama madhehebu makubwa ya Kikristo
Nishajipanga muda kijana kwa ishu ndogo kama hii s a w alipingwa na waarabu na ndio chanzo cha Kuja kwa suratul kauthar kasome kama unataka kujua pia walimdhihaki sana ikawa sababu ya safari ya israa na miiraj huujui uislam kijanaBro nenda kajipange halafu uje tena. Ila utakapokuja uje na aya inayoonesha waarabu walivyompinga Muhammad. Tuache hisia na personalities pembeni.
Qur an ili shushwa wakati wake ndio hakuna anae bisha kwani qur an ndio ilo leta uislamUislam upi na wakati mnasema kuruwan ilishushwa wakati wake
Nishajipanga muda kijana kwa ishu ndogo kama hii s a w alipingwa na waarabu na ndio chanzo cha Kuja kwa suratul kauthar kasome kama unataka kujua pia walimdhihaki sana ikawa sababu ya safari ya israa na miiraj huujui uislam kijana
Wewe jamaa una matatizo sana mie sijanukuu tu aya bali nimekupa sura nzima sasa unataka nini ungesema labda kama hio sura huijui ili nikupe tafsiri yake badala yake unataka kuikimbia nimekupa hio sura ni fupi tu ina aya nne au tano kama sijakosea imeelezea madhila alopitia s a w unataka nini tena au umeshindwa hojaMii naona nijitoe kujadiliana na wewe. Unaacha kuweka aya hususa inayosema mateso aliyo pitia Mohammed, wewe unaniletea maneno matupu.
Nilichogundua waislam wengi wa JF hawasomi quran. Kazi yao kukalili maneno yanayosemwa na viongozi wao tu. Bro soma aya ili uwe thabiti kiimani. Naona hamtofautiani na wale mashabiki wa yule kiboko ya wachawi. Hawaendi huko na biblia wala nini, kazi kukariri maneno ya mchungaji wao.
Qur an ili shushwa wakati wake ndio hakuna anae bisha kwani qur an ndio ilo leta uislam
Wewe jamaa una matatizo sana mie sijanukuu tu aya bali nimekupa sura nzima sasa unataka nini ungesema labda kama hio sura huijui ili nikupe tafsiri yake badala yake unataka kuikimbia nimekupa hio sura ni fupi tu ina aya nne au tano kama sijakosea imeelezea madhila alopitia s a w unataka nini tena au umeshindwa hoja
Kwann unapo banwa kwa hoja unakimbilia kususa?au kuna mtu aliye kulazimisha kuanzisha mjadara wako?Mii naona nijitoe kujadiliana na wewe. Unaacha kuweka aya hususa inayosema mateso aliyo pitia Mohammed, wewe unaniletea maneno matupu.
Nilichogundua waislam wengi wa JF hawasomi quran. Kazi yao kukalili maneno yanayosemwa na viongozi wao tu. Bro soma aya ili uwe thabiti kiimani. Naona hamtofautiani na wale mashabiki wa yule kiboko ya wachawi. Hawaendi huko na biblia wala nini, kazi kukariri maneno ya mchungaji wao.
Mbona Yesu ni myahudi lakini hakuna myahudi hata mmoja anemkubaki na kuendana nae?
Ni mjinga tu anaeshindwa kujua uarabu na uislam ni vitu viwili tofauti.
Mtume amesema sehemu ya uarabu ni kua
1. Quran imeshuka kwa kiarabu
2. Mtume ni muarabu, tofauti na hapo hakuna.
Ndio maama zama kabla ya usilam pale uarabuni zinaitwa zama za ujahilia yaani ujinga, maana waarabu walikua na tabia chafu sana ingawa mpaka sasa wapo pia.
[/QUOTE
Shemeji yako hajambo?
Wewe acha uongo wako hapa Uislama ni Utamaduni wa Waarabu kama ilivyo ukristo ni Utamaduni wa Wazungu hasa wa Ulaya.
Kwani kabla ya ujio wa s a w hakukua na uislam maana hakukua na qur an achana na waafrika ingawaje walikua na dini zao labda kwako wewe uwe huelewi maana ya diniKwa hiyo unafikiri kunaweza kuwa na uislam bila kuruwan? Uwe unafikiri vizuri mdogo wangu. Wee hujui kwamba msingi wa imani wa dini yoyote ni kitabu chao? Bila kitabu, hakuna dini. Hilo limejidhihirisha kwa Afrika. Sababu kubwa ya kukosa dini Afrika ni kukosa msingi wa imani hiyo. Yaani kitabu. Yoote hii tunakuwa mateka wa imani za watu wengine, ni kwa sababu ya kukosa msingi wa imani au dini, ambayo ni kitabu. Lack of documentation costs Africa darely.
Hii tofauti kati ya msomi na asiyekuwa msomi! Bwana @matola PhD umeonesha utofauti na huyo kiaziNa Waarabu Wakristo tunawaweka wapi?
Jamaa yangu haya mambo huyawezi inabidi ujipange haswaa haswaa yaaniRusha hapa niisome
ahisi hamna waarabu wakristo! Ndiyo shida ya kuja jijini leo leo kutokea maganzoWengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.
Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.
1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.
2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu
3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu
4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu
5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu
6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni
7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu
8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu
9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.
10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.
Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.
CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi