eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
- Thread starter
- #121
Kwann unapo banwa kwa hoja unakimbilia kususa?au kuna mtu aliye kulazimisha kuanzisha mjadara wako?
Hakuna mtu mpumbavu Kama anaye razimisha kuongelea kitu asicho kuwa na elimu nacho, una razimisha kuongelea uislam hali ya kuwa huna elimu yeyote kuhusu uislam.
Je unajua chanzo za mtume kuukimbia mji wa Maka na kwenda Madina?
Je unajua chanzo cha mwenyezi mungu kushusha aya ya kuruhusu waisilam washike upanga ili kupambana na wasio kuwa waisilam wakati huo?
Je unajua ni kwa nn waisilam walikimbilia Habasha?
Nenda kwanza kajifunze jinsi ya kutenganisha kati ya mtoa hoja kwa upande mmoja, halafu na hoja yenyewe kwa upande mwingine.
Unachofanya hapa ni kumnyookea na kupambana na mtoa mada, badala ya mada/hoja z/yenyewe.
Pia jifunze matumizi ya r/l. Jua wapi unatumia nini. Nakutakia mjadala mwema.