Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

Kwann unapo banwa kwa hoja unakimbilia kususa?au kuna mtu aliye kulazimisha kuanzisha mjadara wako?

Hakuna mtu mpumbavu Kama anaye razimisha kuongelea kitu asicho kuwa na elimu nacho, una razimisha kuongelea uislam hali ya kuwa huna elimu yeyote kuhusu uislam.

Je unajua chanzo za mtume kuukimbia mji wa Maka na kwenda Madina?
Je unajua chanzo cha mwenyezi mungu kushusha aya ya kuruhusu waisilam washike upanga ili kupambana na wasio kuwa waisilam wakati huo?
Je unajua ni kwa nn waisilam walikimbilia Habasha?

Nenda kwanza kajifunze jinsi ya kutenganisha kati ya mtoa hoja kwa upande mmoja, halafu na hoja yenyewe kwa upande mwingine.
Unachofanya hapa ni kumnyookea na kupambana na mtoa mada, badala ya mada/hoja z/yenyewe.
Pia jifunze matumizi ya r/l. Jua wapi unatumia nini. Nakutakia mjadala mwema.
 
Jamaa yangu haya mambo huyawezi inabidi ujipange haswaa haswaa yaani

That's a first fault. Huwezi leta maandishi katika lugha ambayo mtu nje ya ulimwengu wa kiarabu atayaelewa.

Anyways, niandalie na tafsiri yake kwa lugha yangu ninayoielewa.
 
Wengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.

Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.

1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.

2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu

3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu

4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu

5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu

6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni

7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu

8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu

9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.

10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.

Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.

CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi
kufuga ndevu kama za beberu
 
Bora hao wengine wameachwa watumie lugha zao. Lkn hawa wa mudi ni kila kitu mpaka lugha majina nk. Yaani full utumwa kama assimilado ya mfaransa
Mbona hawajaruhusiwa kujitengeneza biblia yao ?
 
That's a first fault. Huwezi leta maandishi katika lugha ambayo mtu nje ya ulimwengu wa kiarabu atayaelewa.

Anyways, niandalie na tafsiri yake kwa lugha yangu ninayoielewa.
Google translate ya kiswahili ipo mkuu utapata maana yake ndio ujue kama hata hao waarabu walimpinga Muhammad s a w
 
kuna siku shehe mmoja hv ana asili ya kiarabu alikuwa kwenye kipindi cha televisheni cha hapa bongo

watu wakawa wanauliza maswali mbalimbali kuhusiana na imani yao

mmoja wa watazamaji alitaka kujua namna ya kusali sala fulani hivi

jamaa akamjibu namna ya kusali lakini akasisitiza ili Allah amsikie inambidi asali hiyo sala kwa kiarabu
🤣🤣🤣
 
Wengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.

Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.

1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.

2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu

3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu

4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu

5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu

6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni

7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu

8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu

9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.

10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.

Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.

CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi
Mtu kama FaizaFoxy ni mwenyeji wa pwani mkuranga huko lakini anajinasibisha na uarabu,mtu kama huyo ukimwambia dini ya kiislamu ni mila za waarabu anakubishia,kisa kwenye quruan kuna maandiko yamewaambia haya maneno yameshuka kutoka juu kwa mwenyezi Mungu
 
Uislamu Na Ukristo wote Hauko Sawa..

Kikubwa Ni kusimamia Maadili yetu, Kuzidisha Upendo na Amani hiyo ndo Iwe Dini yetu
 
Nenda kwanza kajifunze jinsi ya kutenganisha kati ya mtoa hoja kwa upande mmoja, halafu na hoja yenyewe kwa upande mwingine.
Unachofanya hapa ni kumnyookea na kupambana na mtoa mada, badala ya mada/hoja z/yenyewe.
Pia jifunze matumizi ya r/l. Jua wapi unatumia nini. Nakutakia mjadala mwema.
Ww mbona haujibu hoja na maswali unayo ulizwa badala yake unakimbilia kumshambulia mleta hoja na kumwambia aende akasome sijui hana elimu?
Ili mjadala uwe na hoja zenye mantiki ni lazima muanzisha mjadala awe na elimu ya kutosha kuhusu kitu alicho kileta kijadiliwe ,sasa ww umeanzisha mjadala wa kitu usicho kuwa na elimu nacho na ndio maana ukibanwa na hoja unakimbilia kususa na kutafuta makosa ya kimaandishi kwa aliye leta hoja ili upate pakukimbilia.

Kiufupi hii mada hukuianzisha kwa ajili ya majadiliano na kutaka kuelimika kuhusu uislam bali ulikuwa umeianzisha kwa misingi ya kejeli ili watu waje humu na kuudhihaki uislam sema lengo lako limefeli maana hata wagaratia wenzio wamekupuuza.
 
Mbona Yesu ni myahudi lakini hakuna myahudi hata mmoja anemkubaki na kuendana nae?

Ni mjinga tu anaeshindwa kujua uarabu na uislam ni vitu viwili tofauti.

Mtume amesema sehemu ya uarabu ni kua
1. Quran imeshuka kwa kiarabu
2. Mtume ni muarabu, tofauti na hapo hakuna.

Ndio maama zama kabla ya usilam pale uarabuni zinaitwa zama za ujahilia yaani ujinga, maana waarabu walikua na tabia chafu sana ingawa mpaka sasa wapo pia.
Mtakuja na kila hoja ya kupinga na kuutetea uislam,lakin ukweli utabaki kuwa uislam ni mila za kiarabu,ni mtu mjinga pekee asietumia akili yake ndio ataamini uislamu si uarabu
 
1 unaelewa maana ya ibada kwanza kijana 2 muanzilishi yupi wa uislam alikua muarabu kama unamaanisha s a w basi unakosea sababu uislam haukuanzia kwake 3 qur an kweli imeandikwa kwa kiarabu ila uislamu haukuanzia kwenye qur an vilipita vitabu vingi kabla ya qur an 4 uislam hauna majina maalum kijana la msingi Jina liwe zuri hata happy unaweza ukajiita uislam sio Jina kijana 5 waarabu hakua na utamaduni wa kuvaa kwakujistiri kabla ya ujio wa qur an walikua wanavaa vaa tu hovyo hovyo 6 Majengo ndio nini kijana uislam hauna hizo mambo ndio maana watu wanasali popote pale muhimu pawe Safi tu 7 uislam hauna ibada ya musiki wala nyimbo kijana 8 uislam hauna mapishi ya kiarabu kijana uislamu una ruhusu kula chochote maadam ni halali na kizuri 9 Muziki sio sehemu ya sherehe za waislam kijana acha kupotosha watu 10 kabla ya uislam waarabu walikua hawazikani walikua wanafukiana tuuu mwisho waarabu wasiokua waislam nao tunawaeka upande gani wenyewe
uwe una swali kwa kutumia lugha ya mila yako basi kama quruan si kiarabu,na Mkiwa mnafunga zile ndoa zenu muache kufunga misuli na kuweka majambia huko viunoni na muache kupika mabirani na kuweka kaswida, sababu hivyo vyote ni tamaduni za waarabu
1 unaelewa maana ya ibada kwanza kijana 2 muanzilishi yupi wa uislam alikua muarabu kama unamaanisha s a w basi unakosea sababu uislam haukuanzia kwake 3 qur an kweli imeandikwa kwa kiarabu ila uislamu haukuanzia kwenye qur an vilipita vitabu vingi kabla ya qur an 4 uislam hauna majina maalum kijana la msingi Jina liwe zuri hata happy unaweza ukajiita uislam sio Jina kijana 5 waarabu hakua na utamaduni wa kuvaa kwakujistiri kabla ya ujio wa qur an walikua wanavaa vaa tu hovyo hovyo 6 Majengo ndio nini kijana uislam hauna hizo mambo ndio maana watu wanasali popote pale muhimu pawe Safi tu 7 uislam hauna ibada ya musiki wala nyimbo kijana 8 uislam hauna mapishi ya kiarabu kijana uislamu una ruhusu kula chochote maadam ni halali na kizuri 9 Muziki sio sehemu ya sherehe za waislam kijana acha kupotosha watu 10 kabla ya uislam waarabu walikua hawazikani walikua wanafukiana tuuu mwisho waarabu wasiokua waislam nao tunawaeka upande gani wenyewe
 
Yes, hilo lazima litokee maana katika Miongo michache ijayo kutakuwa na Waafrika Wakatoliki wengi kuliko Wazungu na Waasia; epicenter ya Kanisa inakuwa kwetu
Kwahiyo wewe hio unaona ni sifa ya kujivunia ukiwa kama muafrika halisi?
 
Lusekelo alisema kuzika kwenye masanduku ni utamaduni wa wazungu. Sio dini ya ukristo. Niambie leo hii ni mwafrika gani mswahili anazikwa bila sanduku? Maamuzi yote ya dini ya kikristo hasa ukatoliki unatoka vatcan kwa mzungu. Mzungu wa vatcan ndio anaamua wewe mzaramo wa msanga uzikwe vipi au usizikwe sasa hapo unasemaje? Bikira Maria, Brian Deacon(yesu) wakuchongwa waliojaa makanisani mwenu wote wana rangi nyeupe(wazungu) kama nyie wanaume chongeni weusi kama papa hajawafuta kwenye dhehebu
Hii hoja yako ipo pande zote mbili,uislam na ukristo
 
Kwahiyo wewe hio unaona ni sifa ya kujivunia ukiwa kama muafrika halisi?
Ndugu yangu, Wakoloni na Wamisionari walikuja kwenye hili bara na wakalikuta katika mifumo ya kijamii lipo nyuma kwa makarne na makarne; hawakukuta mifumo imara ya kuabudu bali kulikuwa na imani za kimakabila (mamia kama sio maelfu ya makabila ambayo hayajaungana)
Suala langu sio kwamba sijivunii uafrika wangu bali naangalia tu uhalisia wa hali ya sasa na uhalisia kwa kipindi hicho
 
iyo itakuwa

kumbe unachukia kiarabu kutumika.wewe ulitaka iwe lugha gani?sikuzote lugha moja unganisha jamii ya watu ndio maana mugu akatuambia sisi waislam kwamba ameitelemsha qurani kwa lugha ya kiarabu iliwenyepesi kwetu kutumika
Kwahiyo huyo Allah hakujua kuwa duniani kuna jamii nyingi ambazo si waarabu?
 
Back
Top Bottom