Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe safari yako vipi umefika wapi?Uzoefu upandw upi?
By the way ni kweli kabisa..ukisubiri kumfurahisha kila mtu utachelewa safari yako ya maisha...
Naendelea na maisha yangu....unataka kujua nimefika wapi ili iweje? Kisa nimesema ni kweli huwezi pendwa na kila mtu..wewe safari yako vipi umefika wapi?
nataka kama umenipita unisubiri au kama nimekupita nikusubirie mana sitaweza kuendelea na safari bila weweNaendelea na maisha yangu....unataka kujua nimefika wapi ili iweje? Kisa nimesema ni kweli huwezi pendwa na kila mtu..
Mimi ni age goo...itakua nimekupita vingi.. 😊 😊 😊 😆nataka kama umenipita unisubiri au kama nimekupita nikusubirie mana sitaweza kuendelea na safari bila wewe
uko floo yangapi kwani? ya3 au ya4Mimi ni age goo...itakua nimekupita vingi.. 😊 😊 😊 😆
Niko sedi flooouko floo yangapi kwani? ya3 au ya4
wee bado sana bado unaitaNiko sedi flooo
Swadaktaaaa!!!Uzoefu upande upi?
By the way ni kweli kabisa..ukisubiri kumfurahisha kila mtu utachelewa safari yako ya maisha...