Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu uzaliwe mwenye bahati sio mwenye kipaji....i am a living exampleinawezekana. Kulala masikini na kuamka tajiri.
toa ushuhuda...Muhimu uzaliwe mwenye bahati sio mwenye kipaji....i am a living example
mkuu nini kimekukuta! wakati unanijibu uwe unasikiliza hako kanyimbo nilikoweka hapo juu kakupoze...😅Huwezi kuwa tajiri overnight acha kabisa hizo ndoto everything is a process and it takes time you have to fight your way through riches nothing comes easily
Kuna utajiri wa majini.. Unalala maskini unaamka tajiriHuwezi kuwa tajiri overnight acha kabisa hizo ndoto everything is a process and it takes time you have to fight your way through riches nothing comes easily
Nilizaliwa kwenye familia tajiri, kama mtoto pekee sasa nimerithi mali za wazazitoa ushuhuda...
Aviator naweka buku inatembea hado odd lakiHuwezi kuwa tajiri overnight acha kabisa hizo ndoto everything is a process and it takes time you have to fight your way through riches nothing comes easily
so nini kinakutatiza hapo..? unashindwa ku handle utajiri wakurithishwa ama..?Nilizaliwa kwenye familia tajiri, kama mtoto pekee sasa nimerithi mali za wazazi
Uzi gani tena nifunguke mwanawane?so nini kinakutatiza hapo..? unashindwa ku handle utajiri wakurithishwa ama..?
bado hujafunguka vyema kuhusu uzi wako ndio maana nakuhoji..
sorry nimechanganyaUzi gani tena nifunguke mwanawane?
Well back in the day wakati naanza kujitosa katika ulimwengu wa Trading as second source of income kila panapokucha unaona utajiri sindo huu hapa kumbe reality ni kwamba hicho kitu ni kama duka tu, huwezi ukafungua duka leo kesho ukawa tajiri ghafla na huwezi ukapata faida zaidi hata ya nusu or robo ya mtaji so nilikuwa nawapa watu hii experience kwamba once kitu kimeitwa biashara its always a biashara na inatakiwa ifuate misingi ya biashara kuwa successfulmkuu nini kimekukuta! wakati unanijibu uwe unasikiliza hako kanyimbo nilikoweka hapo juu kakupoze...😅