kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
huo utajiri wa majini ndio nasikia ni hatari, kosa kidogo unarudi kuwa kapukuKuna utajiri wa majini.. Unalala maskini unaamka tajiri
Kuna utajiri wa ngekewa
Kuna utajiri wa bahati nasibu
.. Aina zote hizi za utajiri hutoi jasho
Ukitaka kitu cha fasta hivo kuna price utatakiwa ulipe na pia huo utajiri unaweza usidumu kwasababu hustling inakupa funzo la kuwa na nidhamu ya pesaKuna utajiri wa majini.. Unalala maskini unaamka tajiri
Kuna utajiri wa ngekewa
Kuna utajiri wa bahati nasibu
.. Aina zote hizi za utajiri hutoi jasho
Ni wholesale agent wa bidhaa yoyoteee inayopita mbele yangu..!!!Inadeal na nini hiyo kampuni mkuu
Acha tu mkuu ni kuwa mvumilivu na kutokukata tamaaUkiwa na roho ndogo unakata upepo mapema sana.
Hii game sio rahis si mchezo. Anyway
Vijana wa siku hizi bwana ,yaani akiwaza kitu ambacho sisi wenzie tunakijua muda tu ila tupo kimya ,yeye pukutu pukutu kuja kutuandikia hapa jamviniHuwezi kuwa tajiri overnight acha kabisa hizo ndoto everything is a process and it takes time you have to fight your way through riches nothing comes easily
Angetumia maneno kama NI NADRA,Hivi unajua maana ya huwezi ?
Kwa mfano mmoja tu yule anayeshinda bahati nasibu au wale wanaocheza bahati nasibu ya kujaribu kupata madini ?
Haha wewe ni kati ya watu ambao sitakiwi kuwajibu maana una zile chant zako za kufanya mambo yako yawe mepesi mnoVijana wa siku hizi bwana ,yaani akiwaza kitu ambacho sisi wenzie tunakijua muda tu ila tupo kimya ,yeye pukutu pukutu kuja kutuandikia hapa jamvini