mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
Hiyi nchi sio kwamba viongozi walio chini ya uongozi mkuu hawawezi wajibika hapana isipokuwa mamlaka aliyopewa Raisi ni makubwa kuliko uhalisia au uwezo halisi.
Mimi naamini tuna viongozi bora sana na wenye nia ya kujituma ila kwakuwa mkuu ndio mwenye mamlaka ya kila kitu kitachofuata utafanya kazi kwa kujipendekeza kwa mkuu ili ulinde cheo.
Ndio maana kwenye nchi hii polisi kujipendekeza kwenye mamlaka husika wabunge, mawaziri, nk na sio kwamba wanapenda. Mtawalaumu bure shida ipo alietunga sheria ya kumpa Rais mamlaka zote, huyo huyo mkuu wa majeshi, huyo huyo mkuu wa nchi, huyo huyo mwenyekiti wa chama halafu mtake matokeo mazuri, never!
Kumbuken Rais ni binadam na asili ya binadam anapopewa mamlaka kama hizi kuna kiroho fulani hivi kakuamini wewe ndio mwisho, hata wewe msomaji ukipewa Urais kazi ni hii hii mnayoiona kwa huyu, hakutokuwa na badiliko lolote.
Alaumiwe alietunga sheria ya kumpa Rais mamlaka zote hizo, hawa polisi, mawazi,wabunge, nk mtawaonea bure hawana na hawawezi kufanya lolote mbele ya mamlaka ya Urais wa namna hii. Kilichobaki kila mtu atetee tumbo lake.
Ila mkitaka hii nchi iende mnavyotaka mvueni baadhi ya vyeo Rais, hapo ndipo mtaona matokeo ya utendaji wa vyombo vyote vilivyo chini ya Urais.
Je, ni nani ataweza kuvua hivyo vyeo ikiwa Rais ndie mshika steling mbinu zipo mbili? Moja, wananchi wenyewe muamue kwa pamoja kwenye mbinu hiyi lazima mkubali kuumia kuna vitu ving vitatokea vifo, majeruhi nk mbinu ya pili jeshi liamue kwaajili ya wananchi, kwenye hili mtasubiri sana.
NB: Hakuna mpinzani, au nchi itayokuja kukutetea mwananchi ikiwa wemwenyewe umekaa kama bendera ya chuma kiufupi wacha wale kwanza.
Mimi naamini tuna viongozi bora sana na wenye nia ya kujituma ila kwakuwa mkuu ndio mwenye mamlaka ya kila kitu kitachofuata utafanya kazi kwa kujipendekeza kwa mkuu ili ulinde cheo.
Ndio maana kwenye nchi hii polisi kujipendekeza kwenye mamlaka husika wabunge, mawaziri, nk na sio kwamba wanapenda. Mtawalaumu bure shida ipo alietunga sheria ya kumpa Rais mamlaka zote, huyo huyo mkuu wa majeshi, huyo huyo mkuu wa nchi, huyo huyo mwenyekiti wa chama halafu mtake matokeo mazuri, never!
Kumbuken Rais ni binadam na asili ya binadam anapopewa mamlaka kama hizi kuna kiroho fulani hivi kakuamini wewe ndio mwisho, hata wewe msomaji ukipewa Urais kazi ni hii hii mnayoiona kwa huyu, hakutokuwa na badiliko lolote.
Alaumiwe alietunga sheria ya kumpa Rais mamlaka zote hizo, hawa polisi, mawazi,wabunge, nk mtawaonea bure hawana na hawawezi kufanya lolote mbele ya mamlaka ya Urais wa namna hii. Kilichobaki kila mtu atetee tumbo lake.
Ila mkitaka hii nchi iende mnavyotaka mvueni baadhi ya vyeo Rais, hapo ndipo mtaona matokeo ya utendaji wa vyombo vyote vilivyo chini ya Urais.
Je, ni nani ataweza kuvua hivyo vyeo ikiwa Rais ndie mshika steling mbinu zipo mbili? Moja, wananchi wenyewe muamue kwa pamoja kwenye mbinu hiyi lazima mkubali kuumia kuna vitu ving vitatokea vifo, majeruhi nk mbinu ya pili jeshi liamue kwaajili ya wananchi, kwenye hili mtasubiri sana.
NB: Hakuna mpinzani, au nchi itayokuja kukutetea mwananchi ikiwa wemwenyewe umekaa kama bendera ya chuma kiufupi wacha wale kwanza.