Huyo anaitwa Djigui Diara, kuna mwenye swali!

Huyo anaitwa Djigui Diara, kuna mwenye swali!

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nafikiri mpaka hapo hakuna swali kwa golikipa wa kimataifa raia wa Mali, Yanga mpira mmecheza hongereni sana.

Djigui Diara.jpg
 
Wale kina mighter bado wamejificha nyuma ya babras[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawaonekani wiki yote hii, lile goli la kiwango litakuwa bado akilini mwao, bado hawaelewi Mayele aliunganishaje ile pasi
 
Tuache unafki hapo hamna kipa Zaid Simba Haina mshambuliaj anayejua kucheza na nyavu.

Huyo kipa mnampa sifa za bure mtu gan anapoteza muda kias kile kibaya Zaid timu yake inashambulia vzr tu lakin anakuwa muoga .
Mm yanga nawapongeza kwa muunganiko mzur wa viungo bangala na aucho plus fei hao ndio roho ya timu na msimu huu watasumbua Sana na hao ndio wamemlinda Sana huyo kipa maana walizui madhara kibao ambapo sikuona huyo kipa akisumbuka.
 
Tuache unafki hapo hamna kipa Zaid Simba Haina mshambuliaj anayejua kucheza na nyavu.

Huyo kipa mnampa sifa za bure mtu gan anapoteza muda kias kile kibaya Zaid timu yake inashambulia vzr tu lakin anakuwa muoga .
Mm yanga nawapongeza kwa muunganiko mzur wa viungo bangala na aucho plus fei hao ndio roho ya timu na msimu huu watasumbua Sana na hao ndio wamemlinda Sana huyo kipa maana walizui madhara kibao ambapo sikuona huyo kipa akisumbuka.
Daah! Kweli simba hawana washambuliaji
Bongo unafiki huwezi kuisha, kuna forward kuzidi ya simbs hapa bongo
 
Tuache unafki hapo hamna kipa Zaid Simba Haina mshambuliaj anayejua kucheza na nyavu.

Huyo kipa mnampa sifa za bure mtu gan anapoteza muda kias kile kibaya Zaid timu yake inashambulia vzr tu lakin anakuwa muoga .
Mm yanga nawapongeza kwa muunganiko mzur wa viungo bangala na aucho plus fei hao ndio roho ya timu na msimu huu watasumbua Sana na hao ndio wamemlinda Sana huyo kipa maana walizui madhara kibao ambapo sikuona huyo kipa akisumbuka.
Manula anapopotezaga muda kumbe na yeye ni kipa wa ovyo ovyo eti, kupoteza muda sio kipimo cha kipa iyo ni kupunguza kasi ya mpinzani na tempo ya mchezo inaruhusiwa kiufundi
 
Tuache unafki hapo hamna kipa Zaid Simba Haina mshambuliaj anayejua kucheza na nyavu.

Huyo kipa mnampa sifa za bure mtu gan anapoteza muda kias kile kibaya Zaid timu yake inashambulia vzr tu lakin anakuwa muoga .
Mm yanga nawapongeza kwa muunganiko mzur wa viungo bangala na aucho plus fei hao ndio roho ya timu na msimu huu watasumbua Sana na hao ndio wamemlinda Sana huyo kipa maana walizui madhara kibao ambapo sikuona huyo kipa akisumbuka.
Namlaumu kocha kwa kumuamini Mugalu kila mechi na anapoteza nafasi na haonyeshi kujutia.

Kapoteza nafasi ya wazi kabisa kipindi cha pili.
 
Back
Top Bottom