Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
🤣🤣🤣🤣🤣Hapakuwepo mshambuliaji wa kumtikisa.
Pia Beki ya Yanga ilikuwa imara siku hiyo.
Mdio maana aliweza ku shine
Tutaongea lugha zote msimu huu lakini vya moto tutakuwa tumeviona!Hapakuwepo mshambuliaji wa kumtikisa.
Pia Beki ya Yanga ilikuwa imara siku hiyo.
Mdio maana aliweza ku shine
Hii si mechi moja tu.Tutaongea lugha zote msimu huu lakini vya moto tutakuwa tumeviona!
Kama ingekua Yanga akimfunga Simba rank yake CAF inapanda Kwasasa angekua anaongoza kwakua Yanga ameanza kumfunga Simba Tangu mwaka 1937 ata ilipoanzishwa Ligi ya taifa mwaka 1966 Simba imekua kibonde wa Yanga kwa miaka Mingi.naskia yanga wamepanda kiwango kule CAF baada ya kuifunga simba. kutoka nafasi ya 200 mpaka ta 8
Wanafiki fcKweli kabisa anadaka mishale hapo
Kama kawaida yako msukule fc aka manyani fcWanafiki fc
Kwa hiyo kipa ni Manula? Aliyezoea kufungwa magoli mengi mara goli 4 mara goli 5,hamsa hamsa.Kama kweli Simba SC wanataka kufika mbali kwenye ligi ya mabingwa Manula siyo kipa wa kumtegemeaTuache unafki hapo hamna kipa Zaid Simba Haina mshambuliaj anayejua kucheza na nyavu.
Huyo kipa mnampa sifa za bure mtu gan anapoteza muda kias kile kibaya Zaid timu yake inashambulia vzr tu lakin anakuwa muoga .
Mm yanga nawapongeza kwa muunganiko mzur wa viungo bangala na aucho plus fei hao ndio roho ya timu na msimu huu watasumbua Sana na hao ndio wamemlinda Sana huyo kipa maana walizui madhara kibao ambapo sikuona huyo kipa akisumbuka.