Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Jibu moja tu na hakutaka kupepesa aisee!
Heraaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 amekua mkwel kabisa
Uchafuzi 2024 na 2025 kila mtu yupo saiti sasa
Nchi ya kikuda sana.
Sitakaa nifanye kazi ya serikali milele
Ule ni uhuni, makubaliano yaliuwa ni kujenga kwa fund zao. Sasa wanataka waanze kulipwa ili iwe nini?Naona hata huu mradi wa njia nne kipande cha Nsalaga hadi Ifisi (Mbeya), njia kuu ya TANZAM, mchina kaweka mpira kwapani, wanadai hajalipwa miezi kadhaa
Hivi kwa nini serikali huwa inachelewesha malipo ya msingi ambazo ni haki za watu? Ukienda kwa watumishi kuna ambao wanadai malimbikizo ya mishahara zaidi ya miaka mitatu na wengine zaidi.Naona hata huu mradi wa njia nne kipande cha Nsalaga hadi Ifisi (Mbeya), njia kuu ya TANZAM, mchina kaweka mpira kwapani, wanadai hajalipwa miezi kadhaa
Sidhani kama uko sahihi, nilikuwepo siku wanasaini ule mkataba kwa mbwembwe mbele ya umma. Pia bungeni walisema wameishatenga bajeti kiasi cha asilimia 14 au 17 kama sijasahau. Nadhani kuna tatizo mahala fulani kwenye serikali kutoa pesa kwa wakati. Nimeona hata kipande cha Uyole njia panda-Igawilo kinachofanyiwa maboresho nacho kimekwama.Ule ni uhuni, makubaliano yaliuwa ni kujenga kwa fund zao. Sasa wanataka waanze kulipwa ili iwe nini?
Waisaini mikataba kwa mbwembwe kumbe utekeezaji bure kabisa.
Hivi CCM wanakuaga na akili kweli? Eti anajua pesa ipo? Labda ipo magogoni.....kila mahali ni pakavuuuu hamna kitu
Mmmm kwani huo mradi ni EPC + F. ??? Sidhani , utakuwa umechanganya desa hapo .Ule ni uhuni, makubaliano yaliuwa ni kujenga kwa fund zao. Sasa wanataka waanze kulipwa ili iwe nini?
Waisaini mikataba kwa mbwembwe kumbe utekeezaji bure kabisa.
Serikali imejaa majizi tupuNchi ya kikuda sana.
Sitakaa nifanye kazi ya serikali milele
Nikikutajia ni Miradi mingapi utashangaa, hata ule mradi wenu WA Maji Mbeya wa 90B mkandarasi kaingia mitini, Ule kule NJOMBE wilaya ya Makete, the same, Kibondo huko, hamna kitu na kwingine.......Naona hata huu mradi wa njia nne kipande cha Nsalaga hadi Ifisi (Mbeya), njia kuu ya TANZAM, mchina kaweka mpira kwapani, wanadai hajalipwa miezi kadhaa
Nadhani tuna ukata mahala fulani serikalini.Nikikutajia ni Miradi mingapi utashangaa, hata ule mradi wenu WA Maji Mbeya wa 90B mkandarasi kaingia mitini, Ule kule NJOMBE wilaya ya Makete, the same, Kibondo huko, hamna kitu na kwingine.......