leodigardcyrilo
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 3,340
- 1,748
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo ya wanasiasa mzigo wanabebeshwa watumishi wa umma,naibu meya anatafuta political popularity aonekane ana chapa kazi
Machawa kama Lucas Mbwa Wa Shamba wakiwa wanamwaga sifa humu anakuambia mama Abdul anafanikisha miradi kumbe vidarasa tu vinawashinda.Nchi ya kikuda sana.
Sitakaa nifanye kazi ya serikali milele
Wakurya hawarembj na hawataki ujinga hata kidogo.
umenena kamanda. usithubutu kufanya kazi na mbwa wa kuitwa serikali.Nchi ya kikuda sana.
Sitakaa nifanye kazi ya serikali milele
mkuu,muda mwingine inaboadisha...mbichi zile.
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa kuhusiana na fedha ya miradi ya maendeleo.Wanasiasa wa CCM na Serikali yake wamekuwa wakidai kuwa fedha nyingi imepelekwa kwa ajili ya miradi wakati kilichopelekwa siyo hicho kiasi kinachosemeka.
Acha hiyo mikakataba ya constructions inalipwa per certificates AU una maana"Build Operate handing over"Ule ni uhuni, makubaliano yaliuwa ni kujenga kwa fund zao. Sasa wanataka waanze kulipwa ili iwe nini?
Waisaini mikataba kwa mbwembwe kumbe utekeezaji bure kabisa.
Naam ndiyo mojawapo ya miradi inayotekelezwa.Mmmm kwani huo mradi ni EPC + F. ??? Sidhani , utakuwa umechanganya desa hapo .
Hiyo yote ni miradi ya EPC +F. Baadae ikaleta hadi hoja kama sijakosea ni za CAG ama ilihojiwa bungune wanatenga hizo fedha za nini wakati utekelezaji wa mradi hauhitaji funding toka serikalini kwa wakati huu.Sidhani kama uko sahihi, nilikuwepo siku wanasaini ule mkataba kwa mbwembwe mbele ya umma. Pia bungeni walisema wameishatenga bajeti kiasi cha asilimia 14 au 17 kama sijasahau. Nadhani kuna tatizo mahala fulani kwenye serikali kutoa pesa kwa wakati. Nimeona hata kipande cha Uyole njia panda-Igawilo kinachofanyiwa maboresho nacho kimekwama.
We naona hujaona kama kuna uchafuzi hivi karibuni kila mahaliNaona hata huu mradi wa njia nne kipande cha Nsalaga hadi Ifisi (Mbeya), njia kuu ya TANZAM, mchina kaweka mpira kwapani, wanadai hajalipwa miezi kadhaa
Rushwa,umaskini na roho mbaya hasa wahasibu na ile chain yote ya malipo.Hivi kwa nini serikali huwa inachelewesha malipo ya msingi ambazo ni haki za watu? Ukienda kwa watumishi kuna ambao wanadai malimbikizo ya mishahara zaidi ya mika mitatu na wengine zaidi.
Hivi huyu anayecheleweshaga huwa ni nani hasa? Utasikia wanasema fedha zipo ila hazifiki kwa wakati kwenye miradi au kwa wahusika. Miradi mengi kwa sasa speed ya utekelezaji imekuwa ndogo kwa kweli tofauti sana na miaka mitatu iliyopita ardhi ilikuwa inapigika. Hizi fedha huwa zinacheleweshwa kwa makusudi na baadhi ya watumishi wenye tamaa zao kisha wanasingizia serikali hapo ndipo wizara kama hii ya ujenzi inamtaka mtu karba ya Makonda.