Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa noelgiotz

Unge post picha ambayo kavaa kiume,angalau ingekua poa,,sasa unaweka picha kavaa kishoga shoga,,
Kaniboa sana hiyo picha huyo mtu,
 
nafkiri huyu jamaa ni jasiri kuliko hitler..kuvaa vipedo ivo inataka moyo ma roho ngumu..bora fashion zinipite tu
 
Amina kubwa.
 
Huyu jamaa anatatizo kwa kweli..
 

Attachments

  • IMG_20190702_151239_776.JPG
    69.6 KB · Views: 41
Unge post picha ambayo kavaa kiume,angalau ingekua poa,,sasa unaweka picha kavaa kishoga shoga,,
Kaniboa sana hiyo picha huyo mtu,
Labda hii [emoji3][emoji3][emoji3]
 
ile yule naye yule muonekano wake ule... mhhh!... acha tu tusije tukazungumza vitu ambavyo tutamkufuru Mungu.
Mkuu una waswas na sir jeff Dennis, mbna mi naona mdau yupo mbuya tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…