Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa noelgiotz

Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa noelgiotz

Unge post picha ambayo kavaa kiume,angalau ingekua poa,,sasa unaweka picha kavaa kishoga shoga,,
Kaniboa sana hiyo picha huyo mtu,
 
nafkiri huyu jamaa ni jasiri kuliko hitler..kuvaa vipedo ivo inataka moyo ma roho ngumu..bora fashion zinipite tu
 
Amina kubwa.
Shetani tooooooooooooooooooooka katika JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH!. Ushindwe na urudi katika vilindi kusikokaliwa na watu, KWA JINA LA YESU KRISTO, nafuta ushawishi wako katika uso wa dunia kwa DAMU YA YESU KRISTO.

Kumbukumbu zako katika fahamu za wanadamu, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na wanaume wa rika zote, watoto aina zote, ninazifuta kwa DAMU YA YESU KRISTO ALIYE HAI.

Ninavuruga mipango yako na nakutenga na washauri wako katika uharibifu kwa JINA LA YESU KRISTO AISHIYE MILELE.

NINABATILISHA MASHAURI YAKO NA NAHARIBU NGUVU NA NGUZO ZAKO ZOTE KATIKA JINA LA BWANA YESU KRISTO ALIYE HAI MILELE.

Nageuze nia yako, itoke katika uharibifu, imwelekee Mungu kuanzia sasa. Kwa JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH, SASA IMEKUWA HIYVO. AMEN
 
Huyu jamaa anatatizo kwa kweli..
 

Attachments

  • IMG_20190702_151239_776.JPG
    IMG_20190702_151239_776.JPG
    69.6 KB · Views: 41
Unge post picha ambayo kavaa kiume,angalau ingekua poa,,sasa unaweka picha kavaa kishoga shoga,,
Kaniboa sana hiyo picha huyo mtu,
Labda hii [emoji3][emoji3][emoji3]
IMG_20190705_192021_071.JPG
 
ile yule naye yule muonekano wake ule... mhhh!... acha tu tusije tukazungumza vitu ambavyo tutamkufuru Mungu.
Mkuu una waswas na sir jeff Dennis, mbna mi naona mdau yupo mbuya tuu
 
Back
Top Bottom