Huyo ndiye msomi CHADEMA yote

Upinzani wana matatizo sana ya akili, kwahy wao wakichukua nchi hawatokopa na kupokea misaada?
Mbowe aliwahi kuwaambia wanakijiji flani kususia huduma kutoka serikalini huku wao wakiwa hawatoi msaada wowote kwa hao wanakijiji.
Huo muda n bora kupambana na viongozi wa ndani ili hizo pesa zitumike vzr na sio kupinga misaada incase hayana mipango mibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…