Huyo ndiye msomi CHADEMA yote

Huyo ndiye msomi CHADEMA yote

Upinzani wana matatizo sana ya akili, kwahy wao wakichukua nchi hawatokopa na kupokea misaada
Mbaga

Hakuna mahala wanasema hawatachukua misaada
Huo muda n bora kupambana na viongozi wa ndani ili hizo pesa zitumike vzr na sio kupinga misaada incase hayana mipango mibaya.
wanapambana nao vipi mkuu? Kwani ni mara ngapi wanasema na pesa hazitumiki zinavyopaswa? Mbona hata Zitto Kabwe alishawahi kufanya hivi.
Mbowe aliwahi kuwaambia wanakijiji flani kususia huduma kutoka serikalini huku wao wakiwa hawatoi msaada wowote kwa hao wanakijiji.
mbowe alikosea na hana mamlaka hayo. Serikali haitoi Msaada inafanya wajibu na ni lazima kutimiza.
 
Mkuu hakuna Kiingerza hapo ila kuna mkusanyiko wa maneno ya kiingereza


Kwani uliambiwa huo ni mtihani wa lugha ya Kiingereza ? Wacheni utumwa wa kukiabudu kingereza kana kwama ndiyo kipimo cha usomi. Jambo la msingi ni kuwa ujumbe umeeleweka na hata hao walioandikiwa wanajua kuwa kingereza siyo lugha mama ya watanzania.
 
Kwani uliambiwa huo ni mtihani wa lugha ya Kiingereza ? Wacheni utumwa wa kukiabudu kingereza kana kwama ndiyo kipimo cha usomi. Jambo la msingi ni kuwa ujumbe umeeleweka na hata hao walioandikiwa wanajua kuwa kingereza siyo lugha mama ya watanzania.
Kaolewe naye
 
Alafu unakuta aliyesema hakuna hiyo wizara ni kada mkubwa tu anatarakiwa kuwa kiongozi
 
CCM hawakawii kusema kwanza hela za Mabeberu hawaziombi ki-vilee.

Wapo wengi tu wanaomba kuwakopesha ika waliona na world bank nao wapate nafasi.
 
huko mnakopeleka vipeperushi/vibarua vyenu vya kijinga ndipo wanaisifia tanzania kwa kuboresha uhuru wa kujieleza yaaani wanawaona kuwa wapinzani ni wapumbavu kupita maelezo yaaani mzungu kasifia wewe kidampa kutoka porini huko uje useme ati hakuna uhuru wanakudharau tu
 
Mkuu hakuna Kiingerza hapo ila kuna mkusanyiko wa maneno ya kiingereza
Andika cha kwako tukione. Wajuvi wa kiingereza wanasema kiko vizuri sana isipokuwa hakusoma mara pili hapo kwenye kichwa cha habari. Wewe wa Kwa Mtogole inasemaje?
 
..Mdude kamzidi Mama Abduli Kiingereza.

..Mama Abduli hata umpe wiki nzima hawezi kuwasilisha hoja zake kama alivyofanya Mdude.
 
Back
Top Bottom