- Thread starter
- #61
Uko sahihi, lakini kuna wanawake ambao hawataki waume zao wafanye hizo kazi kwa kuwa malezi yamewafundisha kuwa kazi za nyumbani ni zao....
Hapo napo mume atalaumiwa?
Nakubaliana na wewe.
Lakini wapo baadhi yetu tukiombwa na wake zetu tuwasaidie tunakataa, hata pale mke anaposema labda hajisikii vizuri.