Uko sahihi, lakini kuna wanawake ambao hawataki waume zao wafanye hizo kazi kwa kuwa malezi yamewafundisha kuwa kazi za nyumbani ni zao....
Hapo napo mume atalaumiwa?
Salaam wadau,
Nimejaribu kuangalia kwa kina maisha ya ndoa hasa hizi za kiafrika, kipekee za kitanzania na nimegundua kuwa wengi wa wanaume huwafanya wanawake kuwa ni "watumwa" wao.
Yaani wanaume huwatumikisha wake zao kupita kiasi. Kuanzia kufua, kupika, kuosha vyombo na mikazi mingine kibao....bado mume akiwa ameketi atataka apakuliwe chakula, atengewe, hadi mikono eti anawishwe...Hivi ni kweli wewe mwanaume unashindwa hata kupakua chakula kutoka kwenye hotpot hadi upakuliwe..?
Mara atataka anyooshewe nguo, viatu ang'arishiwe....dah too much jamani!
Hivi huyo ni mkeo au mtumishi wako..!?
Modern men need to change bwanaaa!
wewe mkeshaji ndio wale wale wanaume wenye matatizo kama unampenda mkeo na unaona majukumu yamemzidi mtafutie msaidizi yaani housegirl zaidi ya hapo naona unataka wanaume tuanze kupika na kuosha vyombo hivyo sio kazi yetu sisi kazi ya baba ni kuiwezesha familia kimawazo, kipato nakadhalikaSalaam wadau,
Nimejaribu kuangalia kwa kina maisha ya ndoa hasa hizi za kiafrika, kipekee za kitanzania na nimegundua kuwa wengi wa wanaume huwafanya wanawake kuwa ni "watumwa" wao.
Yaani wanaume huwatumikisha wake zao kupita kiasi. Kuanzia kufua, kupika, kuosha vyombo na mikazi mingine kibao....bado mume akiwa ameketi atataka apakuliwe chakula, atengewe, hadi mikono eti anawishwe...Hivi ni kweli wewe mwanaume unashindwa hata kupakua chakula kutoka kwenye hotpot hadi upakuliwe..?
Mara atataka anyooshewe nguo, viatu ang'arishiwe....dah too much jamani!
Hivi huyo ni mkeo au mtumishi wako..!?
Modern men need to change bwanaaa!
wewe mkeshaji ndio wale wale wanaume wenye matatizo kama unampenda mkeo na unaona majukumu yamemzidi mtafutie msaidizi yaani housegirl zaidi ya hapo naona unataka wanaume tuanze kupika na kuosha vyombo hivyo sio kazi yetu sisi kazi ya baba ni kuiwezesha familia kimawazo, kipato nakadhalika
Mkuu am married over the past 4 years.
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.
Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!
Mkuu am married over the past 4 years.
Mi mwenyewe kabla ya kuoa dreams zangu zilikuwa hivyo kwamba wife anitumikie kwa kila kitu. Baada ya kuingia ndani ya ndoa nikaona hakuna dili yoyote, na kiukweli kuna baadhi ya kazi huwa namsaidia wife na hazijawahi kuniondolea/na hazitaniondolea uanaume wangu, na badala yake inaniongezea upendo kwa wife.
Kwangu mimi, kutaka kila kitu eti ufanyiwe na wife, ni fikra mgando.
Ashakum si matus: Kuna baadhi ya men hata nguo zao za ndani wanawaachia wake zao wafue....shame!
Damn,kifungo kimeisha?No way,watakua wamekuhurumia wewe!NaandamanaMkifata dini hususan Uislaam, mwanamke ni wa kulishwa na kuvishwa na akae ajipambe kwa Mumewe tu. Nakubaliana na mleta mada, wengi hufanya wake zao ni watumwa nadhani hawa hawana "taaluma" (kwenda shule pekee si kuelimika).
It has taken too long that it has deteriorated some members of the community
sally rose
Today 06:46 PM
#89
Banned
<br />Mabadiliko yapi unaongelea?? <br />
<br />
Mbona bailojia hazijabadilika??
<br />Mimi nilianza kumsadia wife kupika mara moja moja nikipata muda,<br />
Mara nikaanza kupangiwa zamu.<br />
<br />
Nikakomaaa, nikajiondoa kwenye hiyo loop.
Mkuu hawa wake zetu ambao pia wamekwenda shule sana pamoja na sisi ila huwa wanajisikia kutufanyia hivyo na ndio satisfaction yake aone at least ameonyesha kumpenda mumewe na pia wanatumia hii kama kikolezo cha ndoa. Si kwamba wanafanya haya day in day out bali mara kwa mara kwani nao wanafanya kazi na wanachoka.
Wivu wa hawa wake zetu pia unachangia kwani wengi wanajiskia uchungu pale msichana wa kazi anaposhika suruali ya mume wake au shati kuosha kwani wanahisi ni uhusiano wa moja kwa moja unajengeka na badala yake hupenda kufua wenyewe. Men pia tunawasaidia kwa sana kama kuwapeleka sokoni, kusimamia project zote kubwa za familia, kuhakikisha ipo bajeti ya kutosha kwa mwezi , kuhakikisha ada za watoto ninalipa ikiwa ni pamoja na kumfanya wife awe smart kwa kila hali.
<br />
<br />
Bilogia yako ndio inasema labia major kazi yake ni kufua nguo! Au mikono ya mwanaume haiwezi shika mopper/dekio?
Na ishu ya kuacha matumizi ya nyumbani mbona hujaiongelea??
Kila mtu ana roles zake kwenye familia mkuu!
mbona siku hizi tunasaidiana katika kutoa matumizi, kusomesha watoto, kujenga na mengineyo? Mbona basi tusisaidiane katika majukumu mengine ya nyumbani? Mie naona ni kuendekeza mfumo dume na kutotaka kukubali mabadiliko. Utakuta asubuhi mnadamka nyote kwenda kaznini, lakini mwanaume anataka aandaliwe chai, apigiwe pasi nguo zake awekewe maji ya kuoga, abrushiwe viatu, na briefcase yake aletewe.
Mh....!
Mkuu hapo tunarudi pale pale kuna tatizo kwenye ndoa yako
pale mkeo anaposhindwa kujua kuwa hapa ni favour na sio right na ppale anapogeuza favour kuwa right