....Huyo ni mkeo, sio mtumwa wako...

Sio utumwa kaka ni mgawanyo wa kazi tu.<br />
Kama unaona anateseka, Mtafutie House Girl amsaidie.<br />
Lakini kwa mimi hainiingii akilini, kuanza kusaidia kuosha vyombo baada ya kurudi kazini.<br />
Mbona humsaidii kubeba Mimba?
<br


mmh???!!!! kwa kupitia hii michango ya lazima ugundue tabia za watu na jinsi wanavyoishi kwenye ndoa zao....haya bwana binadamu hatufanani....
 
Tangu lini Mme anapakuliwa?Mkeshaji tutake radhi bwana. <br />
<br />
 
Jamani, what is favour and what is right? Mwanaume kujipakulia chakula ambacho kiko mezani tayari, are you doing your wife a favour?

Si ndo ubwana na utwana huo!
 
Tangu lini Mme anapakuliwa?Mkeshaji tutake radhi bwana. <br />
<br />

Mke anapakua chakula ambacho kimsingi ulitakiwa upakue mwenyewe, kwani mlaji ni mwenyewe.
 
kitchen paty inakuhusu!! seems hukupata!
 
mtoa maada hata kama unasema ulishaoa nina mashaka sana na akili yako may be umetoka kwenye malaria au pengine hujafikiria kwa marefu zaidi ndio ukatoa maada.

Asante mkuu!
Ndio maana hata ID tunatofautiana, achilia mbali majina.
Hata hivyo hujaweka wazi ni kipi ambacho "sijafikiria kwa marefu" ambacho wewe unadhani ume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…