Huyu African American anasema ameishi Accra na Nairobi na kwamba Nairobi iko more developed

Huyu African American anasema ameishi Accra na Nairobi na kwamba Nairobi iko more developed

Huyu African American sasa hivi tunavyozungumza yuko Tanzania. Amekuja kutembea wiki moja kisha arudi Nairobi anapoishi. Ameulizwa tofauti kati ya Wakenya na Watanzania ni ipi akasema Watanzania ni wavivu, wanafanya vitu pole pole na hawana haraka. Kwa wale ambao hawana bundle ni kati ya dakika 36 na 37.

Angesema Dar is better hata kindergarten kids hapo Bongo wangekuwa wanaimba huo wimbo. 🤣
 
Hayo ni maneno tu in reality ni kinyume chake hapa afrika dar ni bora mara 10 ya accra kiuchumi na life quality

Dar inazidi tu kwa ukubwa wa ekari, ila likija matumizi ya ubongo, kiuchumi, kielimu n.k. hamna lolote.
 
Fursa na biashara huendana na watu wa sehemu husika jinsi walivyo, kwa Dar jameni na ubahiri wenu, middle-class wenu ni wachache na hawapendi kutumia hela, unakuta mtu mwenye kipato cha kati anang'ang'ania kuishi Tandale halafu usafiri anapambania kwenye daladala.

Ukija Nairobi, tuna very vibrant middle-class ambao ndio wanasababisha mji ukue....

Japo kwa Nairobi huwa kuna ushindani kidogo kwenye soko la ajira, maana makampuni yanakagua sana ili kupata the best, ila Dar niliona makampuni hayana sana umakini huo, huwa wanalegeza vigezo maana wakikaza sana hawatapata mtu, na ndio maana unaona makampuni yenu kama vile Vodacom yanang'ang'ania sana kufuata Wakenya.
Kwa hiyo Kibera iko Dar?
Maana inapendwa sana na wakazi wa Nairobi.
Hivi Kibera ilivyochoka unaweza ukailinganisha na eneo gani kwa Dar?
 
Dar inazidi tu kwa ukubwa wa ekari, ila likija matumizi ya ubongo, kiuchumi, kielimu n.k. hamna lolote.
Hizo nchi zenu ambazo watu wake hata wakienda chooni hawaoni umuhimu wa kujisafisha kwa maji ndiyo unasema wana akili [emoji1787][emoji1787]
20220520_195114.jpg
 
Alisema Dar ni Watu Lazy tu wamejaa. Alishangazwa na Uzembe iko huko Dar.
Anaambia wale African American walidanganywa kuenda huko Watembee Jiji Kuu Nairobi[emoji23][emoji23][emoji23]

Huwa tunawaambia hawa walivyo wazembe wanadhani tunawaonea.....
 
Nairobi a.k.a Nairobbery (for extremely high crimes rates).
Nairobi hakuna magenge ya vijana(Panya Road), ambao wanatembea na mapanga na silaha mjini. Wakijeruhi watu na kuiba mali bila uoga kabisa, eti hadi unasikia biashara zote zimefungwa mtaa fulani.
 
Nairobi hakuna magenge ya vijana(Panya Road), ambao wanatembea na mapanga na silaha mjini. Wakijeruhi watu na kuiba mali bila uoga kabisa, eti hadi unasikia biashara zote zimefungwa mtaa fulani.

Kuna siku nikiwa Dar ghafla nikaona taharuki watu wanakimbia, yaani unaona mbaba mzima anakatiza mbio akihema, nilipotaka kutoka nduki nikaskia wanasema eti wanakimbia panya rodi, niliishia kucheka...
 
Kuna siku nikiwa Dar ghafla nikaona taharuki watu wanakimbia, yaani unaona mbaba mzima anakatiza mbio akihema, nilipotaka kutoka nduki nikaskia wanasema eti wanakimbia panya rodi, niliishia kucheka...
Hawa majirani bana waogaaa, ukiona wanavotupia matusi humu, kwa ubabe mwingi, huwezi ukadhani kwamba wanaweza wakateswa na vijana wadogo wadogo umri miaka 15, 16 hivi. Panya rodi ndio habari ya mjini sasa hivi jombaa, jamaa wanalala jicho moja wazi utadhani ni ISIS ndio wametua mtaani.
 
Nairobi hakuna magenge ya vijana(Panya Road), ambao wanatembea na mapanga na silaha mjini. Wakijeruhi watu na kuiba mali bila uoga kabisa, eti hadi unasikia biashara zote zimefungwa mtaa fulani.


Na Al shabaaab vipi??!🤣
 
Hahaha, wakenya mpo na shida Sana, wewe mwemyewe unasema kwamba Kenya hakuna kazi na mamilioni ya wasomi wapo mitaani, ndio sababu wakenya wengi wanakimbilia nchi za nje ili kutafuta kazi, Sasa unashabikia mawazo ya mtu yanayopingana na mawazo yako kwasababu tu ameisifia Kenya, Sasa tuambie Kati ya yeye na wewe nani mwenye kusema ukweli?[emoji23][emoji23][emoji23]089/

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nyinyi vilaza ni mawazo ngapi kama hayo mmeshabikia humu?
 
Back
Top Bottom