Ohooooo! itazidi kudorora hii timu.Ni muhimu asepe awaokoe mashabiki wa aseno na magonjwa ya moyo, pili angalau ushindani wa aseno kwa man urudi manaake saizi tunajipigia tu
Sent from my HUAWEI Y600-U40 using JamiiForums mobile app
Sawa ngoja aondoke af utakujaArsenal haitatofautiana na Aston Villa.
kama ndo stahiki yetu fresh tuu.., ila mzee ametuzingua vya kutosha, tujue tupo au hatupo siyo eti TUPOTUPOArsenal haitatofautiana na Aston Villa.
Mh! We unataka wachungulie kushuka Daraja?Hapana man timu nyingi zinabadilika zikipata mameneja wapya, hasa wenye hamasa kwa wachezaji mfaano, gadiola, clop, diego, gatuso mi naamini io tim akipewa tiery henry atafanya wonders kama zidane alivopewa madrid
Kuingiaingia ndio nini hicho mkuu? Arsenal imeshachoka hii na siku zinavyozidi kwenda ndio wanazidi kupotea kabisaHaijalishi sana lakini angalau walikuwa wanaingiaingia
Watu tnapelekwa kama mbuzkama ndo stahiki yetu fresh tuu.., ila mzee ametuzingua vya kutosha, tujue tupo au hatupo siyo eti TUPOTUPO
Naunga mkono hojaHapana man timu nyingi zinabadilika zikipata mameneja wapya, hasa wenye hamasa kwa wachezaji mfaano, gadiola, clop, diego, gatuso mi naamini io tim akipewa tiery henry atafanya wonders kama zidane alivopewa madrid
Kwani sasa hv wanaisikia wapi kama sio redioni