Huyu akiondoka hata hiyo Big 4 mutaisikia Redioni tu!

Huyu akiondoka hata hiyo Big 4 mutaisikia Redioni tu!

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
IMG_20180326_051344.jpg
 
Hapana man timu nyingi zinabadilika zikipata mameneja wapya, hasa wenye hamasa kwa wachezaji mfaano, gadiola, clop, diego, gatuso mi naamini io tim akipewa tiery henry atafanya wonders kama zidane alivopewa madrid
 
Hapana man timu nyingi zinabadilika zikipata mameneja wapya, hasa wenye hamasa kwa wachezaji mfaano, gadiola, clop, diego, gatuso mi naamini io tim akipewa tiery henry atafanya wonders kama zidane alivopewa madrid
Mh! We unataka wachungulie kushuka Daraja?
 
Kwani msimu jana walimaliza nafasi ya ngapi, na msimu huu mpaka sasa wapo nafasi ya ngapi?
 
Kwani msimu jana walimaliza nafasi ya ngapi, na msimu huu mpaka sasa wapo nafasi ya ngapi?
Haijalishi sana lakini angalau walikuwa wanaingiaingia
 
Hapana man timu nyingi zinabadilika zikipata mameneja wapya, hasa wenye hamasa kwa wachezaji mfaano, gadiola, clop, diego, gatuso mi naamini io tim akipewa tiery henry atafanya wonders kama zidane alivopewa madrid
Naunga mkono hoja
 
Kwa vyovyote vile hawezi kufundisha milele, wakati wa kuondoka ukifika aondoke tu kama inavokuwa kwa coaches wengine
 
Back
Top Bottom