Huyu alilazimishwa kuhamia CCM utokea Chadema ukimsikiliza vizuri.

Huyu alilazimishwa kuhamia CCM utokea Chadema ukimsikiliza vizuri.

Attachments

  • downloadfile-21~2.jpg
    downloadfile-21~2.jpg
    141.1 KB · Views: 1
Msigwa kwa sasa amekuwa Ndondocha la Makala, Makala anamuandikia na kumpangia kitu cha kusema, hii Humiliation haijawahi kuonekana kwenye Ulingo wa Siasa za Tanzania tokea tupate Uhuru.
 
Sababu za Msigwa kuhama CHADEMA ni za kipuuzi sana ndio maana anakosa hoja za kujitetea pale anapokutana na muandishi makini ktk mahojiano.
Ni sawa na mwizi aliyekamatwa na ushahidi waziwazi, anakosa namna ya kujitetea nakubaki kujiuma uma tuu.
 
Back
Top Bottom