Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwani Mbowe na Lissu hawatafuti madaraka? Kuna mwanasiasa asiyetafuta madaraka?Anatafuta madaraka wala hana nia njema na watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Mbowe na Lissu hawatafuti madaraka? Kuna mwanasiasa asiyetafuta madaraka?Anatafuta madaraka wala hana nia njema na watanzania
Lakini wanaongelea shida za jamii yeye anaongelea maisha ya watuKwani Mbowe na Lissu hawatafuti madaraka? Kuna mwanasiasa asiyetafuta madaraka?
Wameshaondoa ubongo wake sasa limebakia fuvu tuLakini wanaongelea shida za jamii yeye anaongelea maisha ya watu
Tunataka watu ambao wanaweza kujadili maswala ya nchiWameshaondoa ubongo wake sasa limebakia fuvu tu
Nakukubali sana pale zinapo kurudia...huwa haupepesi macho.....Nisiwe mchoyo wa fadhila..aisee...Kula Maua yako jombaaaaHaya
Uchungaji unadharirika sana 😂😄
No confidence Kabisa yaani
Alipokuwa Waziri kivuli alikuwa Mtumwa wa Nyalandu 😀Msigwa kwa sasa amekuwa Ndondocha la Makala, Makala anamuandikia na kumpangia kitu cha kusema, hii Humiliation haijawahi kuonekana kwenye Ulingo wa Siasa za Tanzania tokea tupate Uhuru.