Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwani Mbowe na Lissu hawatafuti madaraka? Kuna mwanasiasa asiyetafuta madaraka?Anatafuta madaraka wala hana nia njema na watanzania
Lakini wanaongelea shida za jamii yeye anaongelea maisha ya watuKwani Mbowe na Lissu hawatafuti madaraka? Kuna mwanasiasa asiyetafuta madaraka?
Wameshaondoa ubongo wake sasa limebakia fuvu tuLakini wanaongelea shida za jamii yeye anaongelea maisha ya watu
Tunataka watu ambao wanaweza kujadili maswala ya nchiWameshaondoa ubongo wake sasa limebakia fuvu tu
Nakukubali sana pale zinapo kurudia...huwa haupepesi macho.....Nisiwe mchoyo wa fadhila..aisee...Kula Maua yako jombaaaaHaya
Uchungaji unadharirika sana ππ
No confidence Kabisa yaani
Alipokuwa Waziri kivuli alikuwa Mtumwa wa Nyalandu πMsigwa kwa sasa amekuwa Ndondocha la Makala, Makala anamuandikia na kumpangia kitu cha kusema, hii Humiliation haijawahi kuonekana kwenye Ulingo wa Siasa za Tanzania tokea tupate Uhuru.
Hakika Msigwa ni mpumbavu amekwenda kwa wapumbavu wenzake
Kumbe Msigwa alikuwa beki tatu !!!!!