Huyu aliyejiunga Hispania ni Lokosa yule au mdogo wake? heeeeee

Huyu aliyejiunga Hispania ni Lokosa yule au mdogo wake? heeeeee

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Ebanaaaeeee hi Ameira si ipo la liga jameni? hawa wa west africans hata kama ni magarasa ila wana mawakala very aggresive kwa kweli yaani msuva angekuwa ni mpopo leo angekuwa anacheza hata ubelgiji au uturuki


Screen Shot 2021-09-23 at 18.51.02.png
 
huyu alikuja Simba akiwaa hana utimamu wa mwili kwa kutocheza muda mrefu na pia alikuwa hawezi kucheza ligi bali mashindano ya Afrika pekee
 
Aisee... Mchawi wakala na malengo ya mchezaji...
 
Back
Top Bottom