Huyu aliyejiunga Hispania ni Lokosa yule au mdogo wake? heeeeee

huyu alikuja Simba akiwaa hana utimamu wa mwili kwa kutocheza muda mrefu na pia alikuwa hawezi kucheza ligi bali mashindano ya Afrika pekee
 
Aisee... Mchawi wakala na malengo ya mchezaji...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…