Huyu aliyemshonea Rais wetu hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana

Ndo matatizo ya kushtukiza, huenda wasaidizi wake walikua hawajui kama atahitaji kanzu kwahiyo alipowashtukiza kwamba anataka kuvaa ikabidi washone fasta wampime kwa kumkadiria kwa mbali tu.
Mzee wa kukurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…