Huyu ana sifa za kuwa Mkuu wa Mkoa?

Huyu ana sifa za kuwa Mkuu wa Mkoa?

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Jamani naamini ile semina elekezi za Engurudoto zilikuwa na umuhimu wake.

Mtazameni huyo Chalamila utayaamini maneno yangu.


"Haya ndiyo mambo ya Kagera, hiki ndiyo kichwa cha sangara. Kama mnadhani Kagera tumechelewa haya ndio mambo ya Bukoba, ya Muleba. Hapa ndipo tunapozungumzia uwekezaji wenye tija ni pamoja na kula samaki, viwanda vya samaki, uvuvi kupitia njia safi, ili kupata samaki wakubwa. Doh haki ya mungu, wacha kabisa!"
 
Acheni nongwa! Mbona juzi nanihii kamnywesha mtu juisi tena hadharani..kwani kula kuna tatizo gani?
 
Achana na RC huyu hapa rais 2020-2025
images.jpeg
 
Ma DED, Ma DAS, Ma RAS, Ma DC na Ma RC wa hii miaka ya kuanzia 2016 kuja juu, wengi wamekuwa ni watu cheap sana.

Vigezo vya uteuzi wao nafikiri anavijua bosi wao pekee. Wengine mtabakia tu kuwashangaa.
 
Jamani naamini ile semina elekezi za Engurudoto zilikuwa na umuhimu wake.

Mtazameni huyo Chalamila utayaamini maneno yangu.
View attachment 2367497

"Haya ndiyo mambo ya Kagera, hiki ndiyo kichwa cha sangara. Kama mnadhani Kagera tumechelewa haya ndio mambo ya Bukoba, ya Muleba. Hapa ndipo tunapozungumzia uwekezaji wenye tija ni pamoja na kula samaki, viwanda vya samaki, uvuvi kupitia njia safi, ili kupata samaki wakubwa. Doh haki ya mungu, wacha kabisa!"
Acha ujinga wewe ndio madhara ya kukimbia shule hayo halafu unajifanya mwanaharakati ubongo mdogo

Hapo alikuwa anafanya marketing ya bidhaa zinazopatikana mkoa wa Kagera na wala sio kuonjesha kuwa anakula. Lengo ni watu wajue kuwa samaki wenye ubora wanapatikana kagera na kuwavutia watu wa nje na ndani ama kutembelea mkoa huo au kwenda kufanya uwekezaji kwa masla mazima ya mkoa anaouendesha. Hivi kama wewe sio kilaza umeshindwa kuelewa tuu video ndogo kama hii wewe ukakariri kula tuu bila kuusoma ujumbe uliopo?
 
Jamani naamini ile semina elekezi za Engurudoto zilikuwa na umuhimu wake.

Mtazameni huyo Chalamila utayaamini maneno yangu.
View attachment 2367497

"Haya ndiyo mambo ya Kagera, hiki ndiyo kichwa cha sangara. Kama mnadhani Kagera tumechelewa haya ndio mambo ya Bukoba, ya Muleba. Hapa ndipo tunapozungumzia uwekezaji wenye tija ni pamoja na kula samaki, viwanda vya samaki, uvuvi kupitia njia safi, ili kupata samaki wakubwa. Doh haki ya mungu, wacha kabisa!"
Li serekale la kipumba!
 
Acha ujinga wewe ndio madhara ya kukimbia shule hayo halafu unajifanya mwanaharakati ubongo mdogo

Hapo alikuwa anafanya marketing ya bidhaa zinazopatikana mkoa wa Kagera na wala sio kuonjesha kuwa anakula. Lengo ni watu wajue kuwa samaki wenye ubora wanapatikana kagera na kuwavutia watu wa nje na ndani ama kutembelea mkoa huo au kwenda kufanya uwekezaji kwa masla mazima ya mkoa anaouendesha. Hivi kama wewe sio kilaza umeshindwa kuelewa tuu video ndogo kama hii wewe ukakariri kula tuu bila kuusoma ujumbe uliopo?

Ndio soko la samaki limekufa baada ya kauli ya mpango hivo RC anajitahidi sana kufanya marketing na kuwaamisha watu sangara na sato ni wazuri, na watu wakawekeze Bukoba na Muleba kua mambo mazuri, Chalamila ni genius basi tu watu hua hawamuelewi haraka
 
Ndio soko la samaki limekufa baada ya kauli ya mpango hivo RC anajitahidi sana kufanya marketing na kuwaamisha watu sangara na sato ni wazuri, na watu wakawekeze Bukoba na Muleba kua mambo mazuri, Chalamila ni genius basi tu watu hua hawamuelewi haraka
Unaweza kukuta napoteza muda kufanya argument na mtu mwenye kadi ya clinic ya psychiatric hospital
 
Back
Top Bottom