huyu anachukua nini?

Du ukiipeleka kwa kova anapelekwa ffu akiyanani!!!
 
Wewe naona unataka yakutokee ya jerry muro, hao ni miungu huwa hatuwasemi tz bwana, wanaua na hiyo ndo kazi yao.
 
yaaani hata aibu haioni hii midude
 
huyu anapatikana pale tabata reli
 
Ha ha ha ha,unakuta kapokea mia tano...........si mbaya!kama kuna wanaopokea za bilioni 100 na ushee ni huyu dogo hapo???:car:
 
Ha ha ha ha,unakuta kapokea mia tano...........si mbaya!kama kuna wanaopokea za bilioni 100 na ushee ni huyu dogo hapo???:car:

umemuona dogo anachungulia? lakini ndo utafanyaje na unataka kuwahi uendako
 
umemuona dogo anachungulia? lakini ndo utafanyaje na unataka kuwahi uendako

Huyo dogo utakuwa wewe,manake hupitwi??kwani huwezi ona wakubwa wanafanya jambo ukaangalia pembeni Hashy????kweli,saa nyingine abiria wanasema mpe tuishie bana!:Cry:
 
Kwa mara ya kwanza umetoa thread ya isiyo...........jinsia ka yangu.....................lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…