huyu anadanganya au ni kweli?wanachuo msaada tafadhali....

Dr.viruz

Senior Member
Joined
May 28, 2013
Posts
183
Reaction score
155
msaada tafadhali.shangazi anahitaji msaada wenu.ni hivi:binamu yangu amehitimu 4m 6.amemwambia shangazi yangu kuwa fomu ya mkopo ni 50000 na ya chuo ni 30000 na mwisho wa kulipia ni 30/6/2013.je ni kweli?.maana binamu haaminiki halaf shangaz anapigika kinoma kwaajili yake!!!
 
hata ya mkopo ni 30 sio 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…