EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatupa hata simu kwenye dastibiniWasiliana naye halafu akikuambia mtumie pesa mwambie unakuja hapo shuleni upo karibu tu na geti. Mwombe amwandae kabisa kwani unaingia na hiyo gari hapo getini sasa hivi
Huyo siyo mwalim wala hajui kama una mtoto bali ni tapeli linajua kuwa wengi wetu tunawapenda watoto wetu hivyo ukisikia tu kuwa mwanao anaumwa una panic na utatuma hela haraka kwa mtu usiyemjua. Kumbuka hiyo msg katuma kwa watu 100 na katika hao 100 lazima 15 - 20 wataingia mkenge tuAtatupa hata simu kwenye dastibini
Mwenzake Hutu haha;kanitumia Jana sijui tcra wanasubiri nini kufanya yao kea Hutu bwege
Du awe miongoni mwa walio kwenye phonebookAdd to contact Tu!
Mwenzake Hutu haha;kanitumia Jana sijui tcra wanasubiri nini kufanya yao kea Hutu bwegeView attachment 1353765
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajifunza juyo
Ulireport spam au uli Add ContactMwenzake Hutu haha;kanitumia Jana sijui tcra wanasubiri nini kufanya yao kea Hutu bwegeView attachment 1353765
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulireport spam au uli Add ContactMwenzake Hutu haha;kanitumia Jana sijui tcra wanasubiri nini kufanya yao kea Hutu bwegeView attachment 1353765
Sent using Jamii Forums mobile app