Huyu anajifunza utapeli au ni mbobevu

Hako katapeli....
Shuleni wasingetuma SMS,
Walimu wakisasa hawaandiki SMS kwa herufi kubwa tupu.

Piga simu kwa mkuu wa shule/warden/mwalimu yeyote unayemfahamu huko shuleni.
 
Wasiliana naye halafu akikuambia mtumie pesa mwambie unakuja hapo shuleni upo karibu tu na geti. Mwombe amwandae kabisa kwani unaingia na hiyo gari hapo getini sasa hivi
Atatupa hata simu kwenye dastibini
 
Atatupa hata simu kwenye dastibini
Huyo siyo mwalim wala hajui kama una mtoto bali ni tapeli linajua kuwa wengi wetu tunawapenda watoto wetu hivyo ukisikia tu kuwa mwanao anaumwa una panic na utatuma hela haraka kwa mtu usiyemjua. Kumbuka hiyo msg katuma kwa watu 100 na katika hao 100 lazima 15 - 20 wataingia mkenge tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…