Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Alikuwa anakuja kunisalimu 2 kaka na kupiga stori mbili tatuHahaha! Eti bado? Sasa saa sita usiku alikuwa anakuja kuimba kwaya?
Hapana Geoff alikuwa anaheshimu maamuzi yangu sanaKWA HIYO JAMAA hajakumega kabisaaaa???????
Niko siriazi, GeoffHIVI LILY FLOWER,
upo siriaz kwamba jamaa alikuwa ''HALI VITU?''
ha ha ha ha ha ha!
umekata mzizi wa fitina kwenye hicho kimakonde!
hiyo ya kiuno:ni thread inayojitegemea.mpwaazz kaizer na mm tulipishana njia hapo.mimi na nguli tuliweka msimamo wetu wazi kabisa:MWANAUME HANA KIUNO😀
HIVI LILY FLOWER,
upo siriaz kwamba jamaa alikuwa ''HALI VITU?''
Nimekubali lakini aniambie kweli kwanini aniambie he still loves me, sikudanganyana huko?Huyo kisha pata jimama mitaa ya magomeni kondoa,
umefinyangwa, hafurukuti hatingishiki.
Kazi kwelikweli a.k.a job true true
Alikuwa anakuja kunisalimu 2 kaka na kupiga stori mbili tatu
what????hizo stori za saa sita usiku? Ulishawahi kagua mtarimbo wake kama umelala doro au la?
hehe!mpwaaz angalia hapa:Hizo stori za saa sita usiku? Ulishawahi kagua mtarimbo wake kama umelala doro au la?
KWA HIYO JAMAA hajakumega kabisaaaa????????
Hapana Geoff alikuwa anaheshimu maamuzi yangu sana
HIVI LILY FLOWER,
upo siriaz kwamba jamaa alikuwa ''HALI VITU?''
Niko siriazi, Geoff ''
what????
Teh teh teh,huyo anakutania tuu,totoo,na anavyojua utani atakuletea demu mwenzio alafu akutanie kuwa ni shangazi yake,mi namjua huyo jamaa yako kwa utani,yani anauweza utani mpaka nachoka!!Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.
mpwaaz,What...What? Nakuuliza hizo stori za saa sita usiku ulishawahi japo kuperuzi ili kujiridhisha kama mtarimbo haujalala doro? Au niweke kiblurei? Hahaha!
dah!STUKENI WAPWAAZ!
huyu dada etu ndo anaekosea
mpwaaz,
huyu dada ako ndo alichemka!inaonekana jamaa amechoka kusubiri!dada ako alipaswa kumvulia jamaa apige mashine
ningekuwa mimi ndo huyo jamaa wala nisingemfanyia vitimbwi.kama amekataa kuvua mimi nakubali tu!WAKINA ELIZA NDO WATAKUWA CHAKULA CHANGU😀Mpaka atakaponithibitishia kuwa mtarimbo wa jamaa haujalala doro! Otherwise ni kweli dada atakuwa kakosea!