Huyu ananitania au ananipima

Huyo kisha pata jimama mitaa ya magomeni kondoa,
umefinyangwa, hafurukuti hatingishiki.
Kazi kwelikweli a.k.a job true true
 
HIVI LILY FLOWER,
upo siriaz kwamba jamaa alikuwa ''HALI VITU?''
 
ha ha ha ha ha ha!
umekata mzizi wa fitina kwenye hicho kimakonde!

hiyo ya kiuno:ni thread inayojitegemea.mpwaazz kaizer na mm tulipishana njia hapo.mimi na nguli tuliweka msimamo wetu wazi kabisa:MWANAUME HANA KIUNO😀

Kwa kweli hata mimi nawaunga mkono. Mwanamke ana kiuno, mwanaume ana n'chale! Kazi ya nchale ni kulenga bana! Chiuno ncha mwananke kabchaa!
 
Huyo kisha pata jimama mitaa ya magomeni kondoa,
umefinyangwa, hafurukuti hatingishiki.
Kazi kwelikweli a.k.a job true true
Nimekubali lakini aniambie kweli kwanini aniambie he still loves me, sikudanganyana huko?
 
haya ndo matatizo ya cyber marriage.

simu hizi!!!!!
 
Just let it go. The guy is playing with your love and he is not worth it.
After dumping him do not rush into a new affair take time and you will surely met mr right who is worth your love and attention.
 
Teh teh teh,huyo anakutania tuu,totoo,na anavyojua utani atakuletea demu mwenzio alafu akutanie kuwa ni shangazi yake,mi namjua huyo jamaa yako kwa utani,yani anauweza utani mpaka nachoka!!
 

Subira yako ndo iliyokuponza ngojangoja waonekana zoba! Akufukuzaye hakwambii toka utajionea mambo yanvyoenda.......... timuka mbio utapata mwingine ! Je were u or are u using condoms?
 
What...What? Nakuuliza hizo stori za saa sita usiku ulishawahi japo kuperuzi ili kujiridhisha kama mtarimbo haujalala doro? Au niweke kiblurei? Hahaha!
mpwaaz,
huyu dada ako ndo alichemka!inaonekana jamaa amechoka kusubiri!dada ako alipaswa kumvulia jamaa apige mashine
 
dah!STUKENI WAPWAAZ!
huyu dada etu ndo anaekosea

Mpaka atakaponithibitishia kuwa mtarimbo wa jamaa haujalala doro! Otherwise ni kweli dada atakuwa kakosea!
 
mpwaaz,
huyu dada ako ndo alichemka!inaonekana jamaa amechoka kusubiri!dada ako alipaswa kumvulia jamaa apige mashine

Sikubishii, ila nataka dada anithibitishie kama mtarimbo wa jamaa haujalala doro! Miaka miwili kwa dume rijali si nchezo! Afu linatinga saa sita usiku kwa mshiki eti kupiga stori tu? Ina meki sensi kweli hapo?
 
Mpaka atakaponithibitishia kuwa mtarimbo wa jamaa haujalala doro! Otherwise ni kweli dada atakuwa kakosea!
ningekuwa mimi ndo huyo jamaa wala nisingemfanyia vitimbwi.kama amekataa kuvua mimi nakubali tu!WAKINA ELIZA NDO WATAKUWA CHAKULA CHANGU😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…