Huyu ananitania au ananipima

Huyu ananitania au ananipima

Lily Flower

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2009
Posts
2,553
Reaction score
1,199
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.
 
keshakuchoka huyo!
KARIBU KWANGU MPWA!mila zinaruhusu!...MILANGO IKO WAAAZI😀
 
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.
Hapo sasa!.......unanikumbusha thread nyingine kabisa!..lol

enewei huyo atakuwa ANAKUTANIA/ANAKUPIMA
 
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.

Just PM me my dear little flower , may be,it will be a good start for 2010 to us. please!
 
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.

Hahaha! Mpwa bana! Acha nicheke kidogo! Heb niache nikompee hiyo red na blue nione kama kuna kinachoendelea hapo! Stuka Mpwa!!! Wanaume ndio zetu, tukikuchoka tunahamishia ratiba kwenye kuwa busy! Don wore sisy, kuna vijana serious kibao wamejaa! Du yu knoo woram seyying? Ushamwagwa dada! Stuka!
 
Just PM me my dear little flower , may be,it will be a good start for 2010 to us. please!
ha ha ha ha!
wewe vipi,unaombwa ushauri unarusha kete!dah

kweli ADUI MUOMBEE NJAA
 
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.

duh..mdogo wangu Lily...hapo ina maana anakaa wapi hadi zipite wiki nne hamuonani?

na je anafanya kazi gani hadi imkeep busy kiasi hicho?

Hapo sie tunasema stuka...kama ulivostuka....kuna mwenzio mahali mahali,

Je wewe mapenzi yako kwake yakoje manake majuzi hapoa alikuwepo dada yetu anadai yeye anataka tu kulipiwa bili zake na the so called BF!

kama unaona vipi anakupotezea muda mwache wewe formally ijapokuwa atakuwa ameshakuacha informally just by his actions
 
Hahaha! Mpwa bana! Acha nicheke kidogo! Heb niache nikompee hiyo red na blue nione kama kuna kinachoendelea hapo! Stuka Mpwa!!! Wanaume ndio zetu, tukikuchoka tunahamishia ratiba kwenye kuwa busy! Don wore sisy, kuna vijana serious kibao wamejaa! Du yu knoo woram seyying? Ushamwagwa dada! Stuka!
Lol!maneno mazito kwa mshiki
 
My treat is! wewe upo naye karibu kiasi gani. isije ikawa wewe unasubiri yeye awe karibu afu wewe upo palepale! kama ndivyo ujue yeye amekuwa hisia ya wewe kuwa na zero ukaribu for a long time(just thinking), remember an idle mind is a devils workshop. huo umbali unaweza create nafasi na kama upo Dar, mawinga kibao upenyo tu dakika washaosha kila kitu.

if u love the guy, move closer, kama si riziki utajua and move on. afu hiyo gear ya ...if is over nambie ni move on... is so gross. unamkata mtu stim ya mapenzi, na for boys in attendance- labda uwe umefanya kosa kubwa sana ndo atkuambia go, vinginevyo anakupanga tu kwenye line yeye anaendelea wewe unamsubiri. Is bad but that is how it is.

habari za asubuhi
 
pole, ndio maisha hayo! ongea nae vizuri labda amechoka ugali-maharage kila siku! mpikie mchicha au majani ya kunde mara moja moja ati!
 
LF,..Thats where the troubles begin with these relationships...Urafiki ulio na mawasiliano mazuri kabisa unaweza kudumu hata kwa miaka 2, bila hata ku'do!..i just want to tell you that hiyo parameter ya ukaribu ni muhimu sana...Kama inaanza kukwama, all of a sudden, ujue kuna kidudu mtu anaingilia...Usimwogope huyo jamaa, mwambie in black and white kuwa unahisi ana mahusiano ya pembeni..na kama vp akuweke wazi!...,unless kama unalipiwa DSTV na fuel na rent ndo utaona soo kumpa live!...huh!
 
nimekupa senksi mkuu!
jaribu kumkonvisi mshiki aunge tela kwangu basi!maanake jamaa yake ndo hivyo keshayeya

Ngoja kwanza tumalize ya 13/04 then tunaanza kudumisha mila! Stuka ze Pillaaaaaaaz!
 
LF,..Thats where the troubles begin with these realtionships...Urafiki ulio na mawasiliano mazuri kabisa unaweza kudumu hata kwa miaka 2, bila hata ku'do!..i just want to tell you that hiyo parameter ya ukaribu ni muhimi sana...Kama inaanza kukwama, all of a sudden, ujue kuna kidudu mtu anaingilia...Usimwogope huyo jamaa, mwambie in black and white kuwa unahisi ana mahusiano ya pembeni..na kama vp akuweke wazi!...,unless kama unalipiwa DSTV na fuel na rent ndo utaona soo kumpa live!...huh!

ni kweli mkuu!
lakini hiyo ya miaka miwili bila ku-do SIO WANAWAKE WA SASA!hawataelewa kwakweli
 
Back
Top Bottom