Huyu anatafuta a very decent mkaka.

Huyu anatafuta a very decent mkaka.

Dada Ana miaka 33 anataka marafiki wa kiume. Mengune itajulikana baadae watakavyokubaliana ila awe:
Anaejiheshimu
Asiwe na ndoa yoyote
Kazi asiwe jambazi,mganga wa kienyeji,tapeli au zinazofanana na hizo au uhalifu.
Flexible na awe social
Umri kuanzia 30yrs..
Namba yake karuhusu niiweke hapa
0782 152 147
Anapatikana hewani baada ya muda wa kazi.
Kama ni wewe,kaka yako au ndugu yako kazi kwako.
Mdada anaishi Dar.

Decent mkaka? Mm nini????
 
A very decent,anakuwa vipi vipi labda.
 
blood group, HIV status, sickle cell anaemia, S.T.I/ S.T.D status, Masogange addiction (drugs),uchawi na ushirikina status, ???
 
hata mie nimeshindwa kuelewa decent mkaka anakua vipi!
Sijui kingereza hiko au labda kizungu?
Kama sio kati ya lugha hizo mbili itakua ni english tuliyo kua tukifundishwa kuanzia darasa la tatu miaka hiyo.
 
Hapana matata unachotaka um epata take it from me pm plz!
 
huyo mdada sio decent thus why anatafuta decent kwan mmesahau ile il kitu inasema mafahari wawil ................... zizi moja?
 
mbona yy hajaweka tabia zake hadharani namtakaje descent boy bila yy kuuahkikishia uma wa watanzania kuwa naye ni descent girl?
 
Back
Top Bottom