NAKAZIAKataa ndoa,
Ndoa ni usanii.
Mizee ya humu ikiskia kataa ndoa pressure zinawapandaHuwa inanifurahisha sana
ATAKUA ametahiriwa mda si mrefu 😏😏
Kama kaweza kuvaa soksi kwenye kapeti,ataacha kuvaa sandals za manyoya huyo?Kajivua ubingwa kwa njia ya matuta.kijana wa darslum huyo kashapakwa wese
Hakuna muoaj hapo
kijana wa darslum huyo kashapakwa wese
we mzee sijui kwanini unanichukia😂Kama wewe unavyopenda Mishangazi ya JF, Kumbe wengine wake za watu humu... kuna siku hiyo mishangazi itakuvuta maeneo kumbe chezo lishapangwa liko on-set..., kijana ukijitusu tu unaenda kukutana na fumanizi alafu unapakwa futa a.k.a Zutu na unarekodiwa mrejesho unaletwa hapa JF... 😂👍🏾
Asimwagikiwe na unga wakati wa kusonga ugali.Kajivua ubingwa huyo!Na Hio kanga kiunoni vepee tena?? Duh!
Nataka u-FOCUS baadae tukupe kitengo, unaonekana kijana SMART ila ujinga umekutekawe mzee sijui kwanini unanichukia😂
Ahaaa kumbe!! Nikajua ndobasi tena!!Asimwagikiwe na unga wakati wa kusonga ugali.Kajivua ubingwa huyo!
dronedrake kwenye ubora wake akiwa na msuli wake wa kitanga 😂😂😂🙌🏾👍🏾
Hamna kitu hapo.Usishangae akaanza kusutana kwenye vicoba.Ahaaa kumbe!! Nikajua ndobasi tena!!
🤣 🤣 🤣 🤣 nikiwa ndani nakua butt nakeddronedrake kwenye ubora wake akiwa na msuli wake wa kitanga 😂😂😂🙌🏾👍🏾