Huyu ataoa kweli?🤣

Huyu ataoa kweli?🤣

amadala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
4,265
Reaction score
12,268
Na yeye utamsikia👇
Kataa ndoa,
Ndoa ni usanii.

1000021992.jpg
 
Kama wewe unavyopenda Mishangazi ya JF, Kumbe wengine wake za watu humu... kuna siku hiyo mishangazi itakuvuta maeneo kumbe chezo lishapangwa liko on-set..., kijana ukijitusu tu unaenda kukutana na fumanizi alafu unapakwa futa a.k.a Zutu na unarekodiwa mrejesho unaletwa hapa JF... 😂👍🏾

Video yako ita-trend sana chuoni kwenu na Twitter X
kijana wa darslum huyo kashapakwa wese
 
Kama wewe unavyopenda Mishangazi ya JF, Kumbe wengine wake za watu humu... kuna siku hiyo mishangazi itakuvuta maeneo kumbe chezo lishapangwa liko on-set..., kijana ukijitusu tu unaenda kukutana na fumanizi alafu unapakwa futa a.k.a Zutu na unarekodiwa mrejesho unaletwa hapa JF... 😂👍🏾
we mzee sijui kwanini unanichukia😂
 
Back
Top Bottom