Mmmmh kamba hiiHuyu ni mwamba haswa, alikataa kupewa Namba kwakua yeye hachezi namba anacheza mpira , popote utapouona mpira yeye yupo, Kuna kipindi aliomba awe kipa kabisaa.
Max mm ndo hua sielewi ni no ngp, winger, 8, 10, 9 au 6Labda anacheza free role?
Muangalie modric croatia
Messi barca
Jude bellingham madrid
Max mpia yanga
๐๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni mwamba haswa, alikataa kupewa Namba kwakua yeye hachezi namba anacheza mpira , popote utapouona mpira yeye yupo, Kuna kipindi aliomba awe kipa kabisaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimecheka kwa Max, mabwakuuuLabda anacheza free role?
Muangalie modric croatia
Messi barca
Jude bellingham madrid
Max mpia yanga
[emoji1][emoji1][emoji1]
Kimenishtua zaidi kuona national team kaitwa kama DefenderMfumo wa 3 :4:3
Yaani akitoka kipa kuna kuwa na mabeki watatu ambao hawapandi mbele, kati kati kuna mtu wanne akiwemo huyo unaemuulizia majukumu yao ni kukaba, kushambulia, kupanda na kushuka kusaidia mabeki na washambuliaji watatu walioko mbele.
Huyo atakua miongoni mwa watu wanne wa kati.
sema honestly[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nimecheka kwa Max, mabwakuuu
AaahaaaaHuyu ni mwamba haswa, alikataa kupewa Namba kwakua yeye hachezi namba anacheza mpira , popote utapouona mpira yeye yupo, Kuna kipindi aliomba awe kipa kabisaa.
Shukrani kwa ufafanuziMfumo wa 3 :4:3
Yaani akitoka kipa kuna kuwa na mabeki watatu ambao hawapandi mbele, kati kati kuna mtu wanne akiwemo huyo unaemuulizia majukumu yao ni kukaba, kushambulia, kupanda na kushuka kusaidia mabeki na washambuliaji watatu walioko mbele.
Huyo atakua miongoni mwa watu wanne wa kati.
Ndiyo ni beki 3. Lakini inategemea kocha anatumia mfumo gani. Kwenye 3:4:3 hawi beki per se, anakuwa kiungo.Kimenishtua zaidi kuona national team kaitwa kama Defender